Atukilia
JF-Expert Member
- Feb 23, 2009
- 642
- 203
Peleka TAKUKURU kama kuna ushahidi wa kutosha au PPRA vingenevyo hizo zitabaki kuwa ni hisia tu. Au unaweza kwenda CMSA, benki zote zipo list DSE kulalamika kuwa directors wao ni unethical.1. pole sana, kama ni kweli NMB ni wachivu hivyo kwanini CRDB hawajashinda kanda zingine TANO katika hizo SITA, na wakashinda MOJA tu.
Hawa ku bid kanda zote.
2. NMB MOBILE, mwanzilishi alikuwa ni CRDB, lakini aliingia cha KIKE kwani ilikuwa huwezi tumia bila INternet,NMb ndiye alikuja na JAVA capable aplication ambayo hata simu ya TOCHI iliweza kutoa Huduma.
Alisharekebisha. Microsoft analeta operating system kwanza sokoni na kufine tune bidhaa ikiwa sokoni, ndio principle ya fast services. Ukitaka kila kitu kiwe perfect hutaleta kitu sokoni. Angalia Boeing, Airbus, toyota nk
3. Swala la kutoa hela popote kwenye Mpesa, Airtel money kwa sasa hata Benki ya posta wanyo hiyo Huduma, NMB ni siku nyingi tu ipo. Wewe unazungumzia popote Tanzania, nbm hawana visa card, wenzao wanatoa sehemu yoyote duniani. Global village concept
4. Najua unajua ila uanjifanya hujuhi, Ukweli ni kuwa hakuna wa Kushindana na NMB kwa Idadi ya Matawi sasa yapo zaidi ya 200 nchi nzima, hakuna wa kushindana na NMB kwenye ATM kwa sasa zipo zaidi ya 500 nchi nzima, na atleast kila tawi lina ATM 2 hata NMB LITEMBO( naamini ndio tawi lilo porini kupita yote). Tenda ilikuwa ni ya kupitisha mishahara ya watumishi wa serikali kikanda, haikuwa kushindana nani mwenye matawi mengi. Stay focused.
5. Kinachotokea ni kuwa CRDB ni wajuvi wakupiga POROJo na PROMO, Pia kutoa RUSHWA, lakini kwa NMB ikiwa kama benki ya watu na wanahisa pia wanao iongoza wakiwa wazungu hawana muda wa kutoa rushwa na kupiga kelele, wao wanjiamini na huduma wanayio itoa na kama umeondoka wanajua utarudi tu, kama uamini nenda leo Tawi lolote la NMB na Chunguza kuna foleni ? na kama ipo chunguza ni ya watu wanao weka hela au kutoa?