Mishahara ya watumishi wa umma haitakaa ilingane

Mishahara ya watumishi wa umma haitakaa ilingane

Uzuri wa jk alifanya hivyo halafu kupiga ikawa ruksa ila sio rasmi (usishikwe).

Sasa huyu ngosha kama atabana mshahara na upigaji, kuna sekta zitakosa watumishi.
 
Mtapigwa saaaaana na vumbi la chaki. Being a teacher is the natural curse

Without a teacher ucngekua na ujanja hata wa Ku comment chochote hapa,, ujanja wa kujua hata kuna Jf,,,ni kwa sababu ya huyo Mwalimu aliyekufundisha hicho kingereza ulichoandika....na kumbuka unaongozwa na walimu ,,rais na waziri wake hao hao wenye natural curse....think big
.
 
Mtapigwa saaaaana na vumbi la chaki. Being a teacher is the natural curse

Without a teacher ucngekua na ujanja hata wa Ku comment chochote hapa,, ujanja wa kujua hata kuna Jf,,,ni kwa sababu ya huyo Mwalimu aliyekufundisha hicho kingereza ulichoandika....na kumbuka unaongozwa na walimu ,,rais na waziri wake hao hao wenye natural curse....think big
.

Huna ndugu mwalimu wewe? Acha ulofa kutukana fani yenye 50% ya gvt employees. Eti cursed career, you're just a jinxed stinking twat!
 
Haya mambo ya kijinga sana na ni hoja dhaifu sana, unafikiri mtumishi gani hataki kufanya kazi katika shirika la umma?je kwa nini mashirika hayo yanaendeshwa kwa hasara ingali wanapewa mishshara mikubwa?je ni kweli waajiriwa kwenye mashirika wanakusanya fedha?
Huu nasema ilikuwa mradi wa watoto wa vigogo, haiwezekani mshahara wa certificate wa shirika la umma ulingane na degree holder wa local or central government.Madhara ya serikali dhaifu ndiyo namkumbuka Mwigulu alilisemea kuwa atakomesha sana ila sasa yuko kilimo na uvuvi sijui watamsikiliza kwenye baraza la mawaziri.

Shirika la umma linazalisha na kuuza kwa hiyo lazima liwalipe vizuri wafanya kazi wawe na morali ya kuzalisha zaidi na kuuza zaidi ili faida ipatikane. Seikali za mitaa hawazalishi,wao wanatumia tu,wanasubiria pesa itakayozalishwa na kukusanywa ili wapangiwe matumizi tu. Haiwezi kua sawa.
 
Kwani hiyo ajira kwenye shirika ni ya babaako, huyo Wa halmashauri hawezi kufanya hiyo kazi. Shirika si la babaako!
 
sasa tufanye nn ili iweze kulingana? (SOLUTIONS! !)

Standardize mushahara kusiwe na tofauti kubwa

Ondoa PAYE kwa wafanyakazi wa umma (makes no sense kwakuwa pesa ni za serikali halafu unampa mtumishi then unamnyang'anya tena. PAYE ibaki kwa makampuni binafsi na mashirika yasiyo ya serikali.

Boresha mishahara ya wafanyakazi wote wa umma. Kima cha chini kiwe at least 600,000 per moon.

Mishahara itoke mara 2 kwa mwezi au weekly (hii itasaidia kumake ends meet)

Kuhamasisha utendaji kuwe na incentive ya bonus kila mwaka na vigezo viwe wazi na sio kupeana zamu kama inavyofanywa juu ya mfanyakazi bora (Tanapa zamu ya kwenda SA)
 
Mshahara uwe sawa kwa kazi za umma kama mtu hataki akafanye kazi shambani kwake.
Katika kutumikia umma kila mtu ni muhimu.
Hakuna TRA bila mwalimu. Bila polisi fedha zote wanazokusanya TRA zitaibiwa na vibaka wasio na ajira.
Bila wanajeshi mipaka ya nchi haitakua salama.
Bila Madaktari wafanyakazi na wananchi watakua na afya duni.
Huu mradi wa mishahara kuwa tofauti ulikua ni mradi wa kutengeneza madaraja na kudharauliana kwenye kulitumikia taifa . Kamwe haikubaliki kwenye taifa la kijamaa kuwa na watumishi wanaoneemeka kwa rasilimali za umma huku wengine wakiteseka kwa watumikia wengine.
Huu ni mfumo mbaya sana sana. Wizara na idara zote ni muhimu.
Kama mtu ataona hawezi kulitumikia taifa hili kwa uaminifu kwa sababu tu ya kutaka kuwa awe tofauti na mwenzake mwenye elimu sawa na ya kwake basi awapishe wenye moyo wa kizalendo ambao ni wengi mno.
Tutapinga huu unyonyaji wa watumishi wa idara ndani ya mashirika ya umma kunyonya rasilimali za nchi na kuwafanya wengine ni vibarua wao.
Hali hii ya Wachache wanaojilimbikizia mamishahara na kujenga nyumba 73 Kwenye eneo moja huku watumishi wengine wakijenga nyumba moja tu kwa tabu na mikopo yenye riba kubwa inapoteza uzalendo.
Kila mtu anataka kula vizuri na kuishi kama binadamu na alee watoto wake kama wengine.

Hii sio nchi ya kijamaa,jusema hii nchi ni ya kijamaa huku wananchi wanaishi kibepari ni unafiki mkubwa. Na huo ndio uongo mnaoaminishwa na wanasiasa mnawapa kura mnaendelea kua masikini.

Ujamaa uliisha enzi za Mwalimu. Hii akili naona kama magufuri anayo,itampa shida na hatimae atashindwa au atajikuta anachukiwa na kila mtu,kuleta mambo ya kijamaa ya kupangiana bei katika nchi ya kibepari.

Uzalendo hauko kwenye mshahara tu, unaweza kua unalipwa mshahara mdogo na bado ukawa mwizi,wafanyakazi wa tra wanalipwa mshahara sawa na wafanyakazi wa serikali kuu,tofauti ni kidogo ila ni wezi kuliko kawaida,the same na wanaolipwa mishahara mikubwa.
 
halafu mtu anazungumzia puani ;nashangaa watoto hawajui kusoma na kuandika nyooooooo kwa mshahara gani!
 
Mtapigwa saaaaana na vumbi la chaki. Being a teacher is the natural curse

Without a teacher ucngekua na ujanja hata wa Ku comment chochote hapa,, ujanja wa kujua hata kuna Jf,,,ni kwa sababu ya huyo Mwalimu aliyekufundisha hicho kingereza ulichoandika....na kumbuka unaongozwa na walimu ,,rais na waziri wake hao hao wenye natural curse....think big
.

Some curse can cause blessings.

Samahani kama nimekukera
 
mfano nurse na daktari waongezewe tu sitaman hata nilingane nai wale watu wana kazi ngumu zaidi ya askari police na jeshi lolote, mungu awalinde wananipita mshahara ila sina shida nao hata mungu anaona kazi yao
 
Unataka maendeleo yapatikane kwa wajinga na wagonjwa?wapi mjinga analeta maendeleo.Leo mtu anasema ualimu ni kazi ya laana.
 
Inawezekana tena sana2 swala ni kwamba mwisho wa siku wote ni watumishi wa umma..kikubwa levo zao za elimu2 sioni sababu ya msingi ya mwalimu wa shahada kupishana na mwenye shahada wa TRA zaid ya laki 4




Ni kweli kabisa suala ni level ya Elimu kulingana.
Kuna walimu wengi wanye uwezo wa kufanya kazi huko TRA kwa ufanisi.
Ndio maana hata hao TRA wanakuwa na Semina na Elimu mbali mbali kwani kila kukicha kunakuwa na mabaduliko ya mifumo ya kodi.
Hata ndani ya majeshi kuna wahasibu na wataalam wengi wa uchumi lakini mishahara yao iko chini kisa ni ubaguzi huu wa ajabu kabisa.
Kila idara ina umuhimu ndio maana kila idara inahitaji wasomi.

Yani Baadhi ya wafanyakazi kwenye ofisi za umma wanalipwa mahela Mengi halafu wanapeleka watoto wao nje ya nchi kusoma au kwenye mashule ya binafsi yenye elimu bora na kwa gharama kubwa ili kwesho kutwa waendelee kurithi nafasi za kazi kwenye idara za baba zao. Huku wafanyakazi kama walimu ,mapolisi,manesi ,wanajeshi wakiwa na vimishahara vidogo isiyokithi mahitaji hata ya gharama za shule za kawaida na mwishowe watoto wao wanaendelea kubaki mitaani kwani hata kazi zao mara nyingine watoto wa wale wanyonyaji wenye kuneemeka na pata la taifa bado wanachukua hizo nafasi na kuwa watawala wa Idara zingine zote.
Hii sio sawa baba alisoma digrii ya ualimu na mwenzake ya uhasibu basi Imsababishie kuishi maisha ya jehanamu na mwingine peponi?
Juhudi ya mtu kuongeza kipato ionekane kwenye shughuli zake binafsi. Kama amesoma uchumi basi apate mshahara sawa na mwalimu mwenye digrii lakini akuze kipato chake kwa kujishughulisha na shughuli binafsi za uzalishaji.
Lakini leo hii hawa watu wenye mamishahara makubwa hakuna kazi wanazofanya baada ya muda wa kazi. Wamejazana tu kwenye mabaa badala ya kwenda kuongeza vipato vyao kwa shughuli za ziada baada ya muda wa kulitumikia taifa. Vinwamgongo vyao ni vikubwa na bado wanarithisha familia zao zao nyumba 73 na zaidi. Hapana wote tukatae huu unyonyaji wa kutumia rasilimali za umma.
Mishahara ipangwe sawa kwa wote wenye elimu sawa. Tofauti ziwe posho za mazingira ya kazi.
na stahiki nyinginezo kulingana na mazingira ya kazi.

Watumishi wote wa umma mitaji yao ni kutumia vichwa vyao kuliendeleza taifa.
Hakuna aliye bora zaidi.
 
Mtapigwa saaaaana na vumbi la chaki. Being a teacher is the natural curse

Hicho kijiinglishi chako usingeweza kukiandika bila hao "natural curse"...sio kijiingilish tu hata kuandika gumu jf usingeweza
 
Mtapigwa saaaaana na vumbi la chaki. Being a teacher is the natural curse

Without a teacher ucngekua na ujanja hata wa Ku comment chochote hapa,, ujanja wa kujua hata kuna Jf,,,ni kwa sababu ya huyo Mwalimu aliyekufundisha hicho kingereza ulichoandika....na kumbuka unaongozwa na walimu ,,rais na waziri wake hao hao wenye natural curse....think big
.




Mkuu ulichoongea ni ukweli mtupu.
Ukikaa ukawangalia walimu wanapoanza kuwafundisha wanafunzi wasiojua chochote kichwani zaidi ya kurikaruka kama ndama juu ya madawati na kupiga makelele kama vichaa halafu mwalimu anamfundisha ustarabu na kuujaza ubongo wa mwanafunzi elimu inayokuza kipaji chake na kumpa mambo mengi aliyokua hayafahamu hata kuyaota basi utagundua kuwa kumdharau mwalimu ni kiburi tu baada ya kufanikiwa kijanja kijanja.

Watumishi wote wa umma wanahitaji kuheshimiana na kuona kuwa kila mmoja ni sehemu ya kulijenga taifa kwa uzalendo wa kweli.
 
Ni kweli unachoongea. Ila tujiulize mwingine analipwa mil. 38 na mwingine analipwa 280000 kwa mwezi huo huo, na wote wako hapo serikalini.
Tuweke pembeni vigezo vya mishahara midogo na mikubwa ilivyo na kwa mbaali kuna kazi unahisi walipwe hata 50 elfu kwa mwezi maana kuandika ubaoni na kumtoa mtu ujinga ni kazi rahisi.
Cha msingi bado mishahara inhitaji marekebisho hata kama sekta ni za serikali na zinaendeshwa kibiashara. Lengo ni kubana matumizi maana mnaweza mkazalisha sana lakn hela zikaishia kwenye mishahara...hapo hakuna la maana.
 
Back
Top Bottom