Mishahara ya watumishi serikalini mwezi huu kunani?

Pengine tatizo ni uhakiki wa wafanyakazi ndo sababu ya kuchewesha mishahara ya wafanyakazi! Ila kwa kuwa bado mwezi haujaisha wafanyakazi hawanabudi kusubiri, kwani subira historia yetu na mtu anayeishi sharti asubiri. Hata Mungu wetu katika Rehem zake kuu anatusubiri!
 
Back
Top Bottom