Munkari
JF-Expert Member
- Feb 9, 2013
- 8,084
- 4,365
kama wewe ni mwalimu mpya tunaomba radhi. System zetu zimeharibika. Tumeagiza system mpya south africa. Nahisi ndani ya wiki mbili kuanzia leo 29april wale ajira mpya watakuwa tayari kupata mishahara yao.
mmmmmmmh!! Tutakuja kula wako !!!