Wanasiasa wetu ni tofauti sana na wanavyojiaminisha mbele ya umma.
Kwa hili la mishahara na marupurupu yao ni untouchable. Na hayatakaa yaguswe.Nafikiri hata Mh Rais akithubutu kutumia mamlaka yake katika hili,ajiandae kujiongezea maadui na wengi wao kutoka chama chake.
Nafikiri kuna haja ya kuwa na mjadala wa kitaifa kuhusu mabadiliko ya katiba.Bado tunaihitaji katiba ya Warioba.Vinginevyo, tumekwisha na hatuna pa kutokea.
MP's are selfish...hawatokwi povu kwa maslahi ya umma, bali kwa maslahi yao tu.