MUSIGAJI
JF-Expert Member
- Dec 26, 2014
- 2,261
- 2,741
Wakuu poleni na majukumu!
Kuna jamaa mmoja tunaishi naye mtaani hapa ni askari polisi.Tarehe 2 mwezi wa pili aliomba nimkopeshe fedha kiasi na akaniambia angeirejesha mapema maana wanalipwa mshahara katikati ya mwezi na mwisho wa mwezi.
Ilipofika katikati ya mwezi nikaona kimya nami nikapiga kimya,Mwisho wa mwexi umefika nikaona kimya jana nikaamua kumuuliza akasema bado mishahara yao ya mwezi wapili haijaingia.Naomba kuuliza kwa wanaojua ni kweli haijaingia au tayari maaskari wameshapata mishahara?
Assnteni wakuu
Kuna jamaa mmoja tunaishi naye mtaani hapa ni askari polisi.Tarehe 2 mwezi wa pili aliomba nimkopeshe fedha kiasi na akaniambia angeirejesha mapema maana wanalipwa mshahara katikati ya mwezi na mwisho wa mwezi.
Ilipofika katikati ya mwezi nikaona kimya nami nikapiga kimya,Mwisho wa mwexi umefika nikaona kimya jana nikaamua kumuuliza akasema bado mishahara yao ya mwezi wapili haijaingia.Naomba kuuliza kwa wanaojua ni kweli haijaingia au tayari maaskari wameshapata mishahara?
Assnteni wakuu