Mishahara mipya.

stweka

JF-Expert Member
Jun 9, 2016
422
144
Wanabodi mwenye scale mpya za mishahara atuambie hasa idara ya elimu.
 
rejea bajeti ya 2015/2016 na 2016/2017 fungu la mishahara ni kama hakuna ongezeko.mwaka uliotangulia ilikuwa trilion 6 na mwaka huu nao ni trilion 6.suala la maana ni kuchapa kazi .tija ikiwepo mshahara utaongezwa tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…