S stweka JF-Expert Member Jun 9, 2016 422 144 Jul 1, 2016 #1 Wanabodi mwenye scale mpya za mishahara atuambie hasa idara ya elimu.
Sagungu 1914 JF-Expert Member Jun 21, 2016 930 579 Jul 1, 2016 #5 Ukiulizia sana tunakuweka kwenye watumishi hewa, kwa hiyo kaa kimya.
kson m JF-Expert Member Jan 24, 2014 6,648 3,003 Jul 1, 2016 #6 rejea bajeti ya 2015/2016 na 2016/2017 fungu la mishahara ni kama hakuna ongezeko.mwaka uliotangulia ilikuwa trilion 6 na mwaka huu nao ni trilion 6.suala la maana ni kuchapa kazi .tija ikiwepo mshahara utaongezwa tu.
rejea bajeti ya 2015/2016 na 2016/2017 fungu la mishahara ni kama hakuna ongezeko.mwaka uliotangulia ilikuwa trilion 6 na mwaka huu nao ni trilion 6.suala la maana ni kuchapa kazi .tija ikiwepo mshahara utaongezwa tu.