September 1:
Maandamano ya UKUTA nchi nzima.
September 1:
Siku ambayo jeshi la wananchi Tanzania litafanya usafi huko Arusha.
September 1:
Imetajwa kua siku ya kuongezwa mishahara kwa wafanyakazi wa uma, ikiwemo kupandishwa vyeo kwa wanao stahili.
September 1:
Dr Slaa ana timiza mwaka mmoja kuanzia pale 1 September 2015, alipo tangaza rasmi kujingatua Chadema na kujiondoa kwenye siasa.