Mishahara hiyoooo dirishani soma hii

Ni vigumu sana kutengeneza controls ambazo zinaweza kukabiliana na wizi/ufisadi(fraud) ambao unashirikisha watendaji mbalimbali katika mlolongo mzima wa maamuzi/ulipaji.

Hata kama itatakiwa aende mtu mwenyewe bado "ghost" workers watakuwepo na watachukua hizo pesa kama wahusika katika mchakato mzima wa wizi huo wanashirikiana (kuanzia huko hazina kwenyewe mpaka kwenye kituo husika cha ulipaji/kazi).
 
It may be assumed, by extension, that, sick and bereaved staff, as well those currently out of the country are not exempt.

kwa hiyo wanataka mtu alipe nauri ya ndege milioni 3 ili kufuata mshahara wa laki 6,hawa jamaa bana.kaaaaaaaaaazi kwelikweli hii nchi
 
Please our leaders may you stop non sense things.siku zote serikali corrupt haiwezi kusimamia mapato na matumizi ya nchi mwaka uliopita lilifanyika zoezi la kuhakiki taarifa za watumishi wote nchi nzima leo bado malipo hewa yanafanyika mheshimiwa jk pamoja na timu yako msiwasumbue watumishi wa hali ya chini watu uliowateua waliosababisha bilioni tisa kupotea wizara husika watimuliwe onyesha msimamo wako uone kama upumbavu utaendelea onyesha msimamo usiruhusu utawala wa kambare kila mtu kujifanyia anachotaka idara ya utumishi wa umma inafanya kazi gani wezi wakubwa kama idara ya utumishi wa umma inapaswa kujua inawatumishi wangapi.ni heri kuwa mfanyabiashara kuliko kufanya kazi katika serikali iliyojaa wezi ngazi za juu wanaohusika ni kuanzia ngazi ya halimashauri ndio wanaiba hizo pesa wakishirikiana na viongozi wengine ngazi za juu mwogopeni mungu
 
Back
Top Bottom