Kutokana na kukithiri kwa malalamiko kuhusu mishahara na kukithiri kwa tatizo la mishahara hewa serikali imesitisha mkataba wa ajira ya Emmanuel Jerome Mlay, Mkurugenzi wa Idara ya USIMAMIZI WA RASILIMALI WATU KATIKA UTUMISHI WA UMMA, idara inayoshughulikia mishahara ya watumishi katika utumishi wa umma.
Uamuzi huu umefikiwa Katika kuimarisha utendaji na ufanisi wa idara inayoshughulikia mishahara katika utumishi wa umma.
Bwana Mlay yuko katika likizo inayoishia tarehe 30 April 2016, siku ambayo ajira yake inakoma.
Uamuzi huu umefikiwa Katika kuimarisha utendaji na ufanisi wa idara inayoshughulikia mishahara katika utumishi wa umma.
Bwana Mlay yuko katika likizo inayoishia tarehe 30 April 2016, siku ambayo ajira yake inakoma.