Gari lenyele ni la mkopo
Manzi kampendea pesa
iPhone ni simu za showoff
Chakula cha hotel hakina afya— junky
Kila mtu atarudi kaburini mtupu
Wenye pesa hawana furaha maishani
Utajiri una siri nyingi sana
Lazima wataachana tu
Hii kauli hutoka kwa wenye elimu ya dini sasa wakiona hutoi mchango watakusema mbahili au hela ya majini. Hivi kama huna hela si utaishia kuishi maisha ya dhiki na kuwa mfanyakazi wa wenye hela.