paka wa sokoni hafi njaa
paka haishi kwa msela
paka wa sokoni hafi njaa
usinikumbushe ile ya "Shikamoo Van Persie"
mchawi binadamu paka anatumwa.
mchawi binadamu paka anatumwa.
9. Mpenzi wako mpya ndiye mpenzi wa zamani wa mwenzako.
5.Chezea mshahara usichezee kazi.
6. Iga kazi usiige matumizi.
7. Ukitaka kujua shortcut kula nauli.
8. Ukitaka kumjua mume mwenzio muache mkeo.
Hio ni maeneo ya Doma (Moro) naitafuta Mikumi.Hapa ulikua unaitafuta mkoa gani mkuu?
Naona bolt inakimbia Nut,mbona zote saizi 19. Hahahahahaaaaaahahahaha...jamaaa anadawa size ya "ya ukoo" ndo maana duu katoka unyoya fasta.