The Evil Genius
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 5,458
- 17,254
- Thread starter
- #21
Sio kweli mkuu.Ila wote wagomvi
Hata hao wakurya mnaodhani wote wagomvi sio kweli. Hata uarabuni sio kila mtu ni gaidi.
Sio kweli mkuu.Ila wote wagomvi
waarabu wasipokuwa magaidi wanakuwa wasukumaji wa mahausigeli na kuwaangusha kutoka juu ya maghorofa. Usipokufa wanakusukuma tenaSio kweli mkuu.
Hata hao wakurya mnaodhani wote wagomvi sio kweli. Hata uarabuni sio kila mtu ni gaidi.
Wakurya ndio Icon au kabila kuu na maarufu katika mkoa wa mara ndio maana wanajulikana wote wa kutoka huko ni wakurya
Tatizo lenu uoga ndiyo maana mnatuogopa pipo za Mara.Ila wote wagomvi