Miradi ya barabara kibao imekamilika bongo
Na Mwandishi Maalum,
Mrema alisema kuwa miradi mikubwa ambayo inasubiri kutiwa saini ili utekelezaji uanze ni Same-Mkumbara, Mkumbara-Korogwe, Kigoma Lusahunga na ujenzi wa barabara za Tanga mjini.
Alisema kuwa miradi iliyoko katika hatua ya manunuzi ni Tabora-Nyahua, Mkata-Handeni, Korogwe-Handeni, Handeni-Mziha, Mwigumbi-Maswa-Bariadi-Lamadi Bariadi-Lamadi, Dodoma-Babati, Sumbawanga-Mpanda, Sumbawnga-Kanazi, Sumbwanga-Mpanda-Kanazi-Kizi-Kibaoni, Kyaka-Kayanga-Bugene, Sumbawanga-Matai-Kasesya, Barabrara za Kuzungumza Mkoa wa Dar es Salaam (ring roads) ambao ni mradi maalum, na Kitumbi, Segera-Tanga.
Mingine ni Tunduma-Laela-Sumbawanga, Tunduma-Kana, Tanga-Horohoro, Songea Mbinda, Songea-Namtumbo ambayo yote itagharimiwa chini ya msaada wa MCC wa Serikali ya Marekani.
Imetolewa na:
Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais,
Ikulu,
DAR ES SALAAM.