Miradi ya barabara kibao imekamilika bongo!!!!


Sijaangalia vitu vingine, lakini hiyo ya rangi nyekundu sio ya lami.....au ni mchanganyiko wa lami na changarawe?

Asante Roy kwa kushitukia huo usanii kuhusu hizo barabara, mimi nimeongezea moja ya bluu.

Inaonekana Rais wetu huwa anadanganywa mno na Watendaji wake. Hizo barabara ni mbovu kuliko na zimekuwa hivyo tangu enzi za Adamu na Eva!

Kinachoshangaza zaidi ni kauli kuwa haitajwi ni kiwango cha changarawe au lami ila tunaambiwa zimekamilika. Mimi nadhani ni vema Rais awe mjanja na ajitolee kufunguamwenyewe hizo barabara ili ajionee mauza-uza ya Serikali yake.
 

very true..., ukiwapa vitenge na masweta 't-shirt'... = ushindi wa kishindo as they call!......bado safari ni ndefu.
 

Morani75,

nina ka-experience kidogo cha mambo ya procurement through financial institutions................mambo aliyoyafanya Mrema kama Mrema tangu aingie TANROADS......kama tunawapeleka akina Mramba and Yona to Court kwa sababu ya kukataa ushauri.....ambapo baadaye nchi imeingia hasara.........basi huyu Mrema ilitakiwa awe wa KWANZA kufikishwa kortini......jamaa ametuingizia hasara kubwa sana na bado....anataka Rais akafungue barabara zilizo substandard......damn!!.......procurements zilizofanywa under Mrema's.........Mramba and Yona case ni cha mtoto!!

Kwanza tangu aingie ameivuruga sana TANROADS.....kwa hiyo Yes....TANROADS yote inabidi kukarabatiwa.......
 

Hizi in red si zilikamilika miaka michache tu iliyopita (enzi za Mwinyi/Mkapa)? kulikoni?
 
Hizi in red si zilikamilika miaka michache tu iliyopita (enzi za Mwinyi/Mkapa)? kulikoni?
Mkuu Cynic,
Hizo barabara ni za zamani, kinachofanyika sasa ni ukarakarabati mkubwa (kwa maana zimechoka), pia wanafanya kupanua baadhi ya sehemu ili kuongoza ufanisi wa upitaji wa magari na usalama wa watumia barabara. Kama umepita barabara ya Chalinze Segera siku za karibuni utaona kuna mkandarasi anafanya kazi za aina hiyo.
Kwa mtazammo wangu, dhamira ya serikali katika uboreshaji wa miundo mbinu ya barabara haina shaka.....

 
Kweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…