Wakuu, naomba TANROAD mkoa wa Dar es Salaam wanisaidie kupata mpango wa ujenzi wa Barbara za Dar kwa kiwango cha lami. Naomba kujua Barabara gani zinazotakiwa kujengwa kwa kiwango cha lami kuanzia 2018-2020.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.