Bali tu huko tandahima ulime magimbi usifosi vitu mwishowe ukaweka kituko hukoNimeajiriwa kwenye moja ya big Audit firm hapa bongo.Sina mtu ila naweza tafuta.Kuhusu passport kwa sasa sina ila kuipata sio kazi.
Kipato changu kufikia hiyo hela kwenye account hapana ila naweza kusave kwa mwaka hiyo hela ilafika
Kila mtu na ndoto zake , kama hajakuomba nauli mtemeSasa ukanyage US halafu urudi utapata faida gani?
Yeah man.Kiranga kaweka bayana sehemu kubwa ya maelezo ambayo nami ningeyatoa kulingana na jibu la swali nililokuuliza...
Hiyu mwamba yuko Big Audit.Sasa ukanyage US halafu urudi utapata faida gani?
Sababu ya wewe kutaka kwenda huko ndo ina-determine aina Visa utakayopewaNipe elimu hapo,sina mtu so naenda kama kutalii
Yeah man.
Kuongezea tu documents zikamilike na ziwe consistent. Ukikosea kidogo tu unaweza kufikiri ni kama wanatafuta sababu kukunyima visa tu.
Akisema anafikia hoteli fulani awe na full booking documents. Akisema anafikia kwa mtu fulani, mfano raia wa US, awe na invitation letter ya nguvu ya kutoka kwa huyo mtu.
Kitu kingine, ni muhimu kuwahi sana kukamilisha documents na kuomba visa waay ahead of the trip kwa sababu last time I checked ubalozi wa US unakuwa na watu wengi wanaomba visa kwa hyo hata kupata appointment inaweza kuchukua muda.
Kuna kipindi nilimuandikia barua ya mualiko Profesa mmoja wa UDSM alikuwa na kila document lakini alichelewa kuja tarehe aliyotaka kwa sababu ya kutopata visa interview appointment on his time
MkuuKwenda huko kutakusaidia nini! Bora uende Iran au North Korea.
Ukute ndugu zako wengine hata kula imeshindikana,wewe unaandaa bajeti ya kuwatembelea wahuni tu.
Kwamfano ukiwa na iyo doo itajumuisha flight,accomodation ,then ukirudi inaanza kuzisaka upya?Au ukiwa na hiyo ukiondoka umeondokaAndaa kama 15-20M hiv
Mtu kaomba ushauri,unampangia namna ya kuishi..Bora ungepita tu,dunia ina nchi 200+ ila yeye kachagua USA kwann umpangie?Naenda ww huko unapotaka wwKwenda huko kutakusaidia nini! Bora uende Iran au North Korea.
Ukute ndugu zako wengine hata kula imeshindikana,wewe unaandaa bajeti ya kuwatembelea wahuni tu.
Hamia jimbo la Kawe, Mheshimiwa alitoa ahadi ya kuwafikisha huko wapiga kura wake.Habari za humu wadau,
Mimi ni kijana wa kitanzania mwenye ndoto ya kufika marekani.
Sasa mwisho mwa mwaka 2024 ninaplan nikipata likizo niende japo nikanyage tu nirudi.
Sasa niweze kusave kiasi gani cha pesa mpaka kufikia muda huo niweze ingia kwa Biden na hatimaye ndoto yangu kutimia?
Kila la kheri afike salama
Mkuu wewe ni muhaya bila shaka.....sorry lakini npo kwenye utafitiYeah man.
Kuongezea tu documents zikamilike na ziwe consistent. Ukikosea kidogo tu unaweza kufikiri ni kama wanatafuta sababu kukunyima visa tu.
Akisema anafikia hoteli fulani awe na full booking documents. Akisema anafikia kwa mtu fulani, mfano raia wa US, awe na invitation letter ya nguvu ya kutoka kwa huyo mtu.
Kitu kingine, ni muhimu kuwahi sana kukamilisha documents na kuomba visa waay ahead of the trip kwa sababu last time I checked ubalozi wa US unakuwa na watu wengi wanaomba visa kwa hyo hata kupata appointment inaweza kuchukua muda.
Kuna kipindi nilimuandikia barua ya mualiko Profesa mmoja wa UDSM alikuwa na kila document lakini alichelewa kuja tarehe aliyotaka kwa sababu ya kutopata visa interview appointment on his time
Mkuu,Mkuu wewe ni muhaya bila shaka.....sorry lakini npo kwenye utafiti
exploring.Sasa ukanyage US halafu urudi utapata faida gani?
Kuna watu wana chuki sana na USA.Mtu kaomba ushauri,unampangia namna ya kuishi..Bora ungepita tu,dunia ina nchi 200+ ila yeye kachagua USA kwann umpangie?Naenda ww huko unapotaka ww