Mipango ya 2015 Timu ya Lowassa yateua msemaji!

Mipango ya 2015 Timu ya Lowassa yateua msemaji!

DJ Baraka

Senior Member
Joined
May 15, 2013
Posts
177
Reaction score
82
Kuanzia sasa mtu yeyeote anayetaka kuuliza chochote Rais Mtarajiwa Mh.Edward Lowassa anatakiwa kuuumiliza Bw Abubakar Liongo ambaye ameteuliwa rasmi kuwa msemaji wa Lowasa.

Lowasa kuanzia sasa hatakuwa na muda wa kujibu maswali ya waandishi wa habari bali jamabo lolote kuhusu Lowasa aulizwe Liongo!

Anyetaka mawasiliano yake ani-PM nimpatie.

Ukipata taarifa hii mjulishe na mwenzake.

Njia ya ikulu nyeupe kwa Lowassa!

Twenzetu!
 
Niunganishe mzee nishiriki kula kodi yanga nayo kata kila mwezi kwenye kamshahara kangu
 
Kuanzia sasa mtu yeyeote anayetaka kuuliza chochote Rais Mtarajiwa Mh.Edward Lowassa anatakiwa kuuumiliza Bw Abubakar Liongo ambaye ameteuliwa rasmi kuwa msemaji wa Lowasa.

Lowasa kuanzia sasa hatakuwa na muda wa kujibu maswali ya waandishi wa habari bali jamabo lolote kuhusu Lowasa aulizwe Liongo!

Anyetaka mawasiliano yake ani-PM nimpatie.

Ukipata taarifa hii mjulishe na mwenzake.

Njia ya ikulu nyeupe kwa Lowassa!

Twenzetu!

Labda ikulu ya Monduli lakini sio Tanzania
 
Choo cha kike huyo jamaa hafai hata kuwa balozi wa nyumba kumi(ilani ya magamba inatekelezwa ki kapuya style)
 
Mtahangaika saaaana, lakini maamuzi yapo na sisi wananchi na si wasemaji wa watu fulani fulani.
 
Lowassa sianatoka Kaskazini ..!!???

kumbe?

Rais wa 1-Kanda ya Ziwa-Nyerere
Rais wa 2-Zanzibar-Mwinyi
Rais wa 3-Kusini -Mkapa
Rais wa 4-Pwani-Kkiwete
Rais wa 5-Kaskazini-LOWASA
upo
 
Mkuu niwahishie hiyo namba ya simu. Nahitaji Bango la raisi wetu. Tafadhari.
 
kumbe?

Rais wa 1-Kanda ya Ziwa-Nyerere
Rais wa 2-Zanzibar-Mwinyi
Rais wa 3-Kusini -Mkapa
Rais wa 4-Pwani-Kkiwete
Rais wa 5-Kaskazini-LOWASA
upo

Mkuu mbona unawatenga wa magharibi na mashariki?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom