Kuanzia sasa mtu yeyeote anayetaka kuuliza chochote Rais Mtarajiwa Mh.Edward Lowassa anatakiwa kuuumiliza Bw Abubakar Liongo ambaye ameteuliwa rasmi kuwa msemaji wa Lowasa.
Lowasa kuanzia sasa hatakuwa na muda wa kujibu maswali ya waandishi wa habari bali jamabo lolote kuhusu Lowasa aulizwe Liongo!
Anyetaka mawasiliano yake ani-PM nimpatie.
Ukipata taarifa hii mjulishe na mwenzake.
Njia ya ikulu nyeupe kwa Lowassa!
Twenzetu!
Lowasa kuanzia sasa hatakuwa na muda wa kujibu maswali ya waandishi wa habari bali jamabo lolote kuhusu Lowasa aulizwe Liongo!
Anyetaka mawasiliano yake ani-PM nimpatie.
Ukipata taarifa hii mjulishe na mwenzake.
Njia ya ikulu nyeupe kwa Lowassa!
Twenzetu!