Maguge Maguge
JF-Expert Member
- Sep 1, 2016
- 2,734
- 1,780
Expire date ya bidhaa ni kitu muhimu sana, lakini niseme, ni rahisi sana watu kutumia bidhaa zilizoharibika, na hata baadhi ya wauzaji wanaweza kuuza bidhaa zilizoisha muda wake kutokana na kushindwa kuchambua mikanganyiko iliyopo, ukizingatia kwamba wauzaji na wanunuzi ni watu wa hali ya kawaida.
1.Inaandikwa kwa kiingereza ingawa inakuwa bidhaa ya kuuza ndani ya nchi inayotumia kiswahili kama lugha ya Taifa
2. Ina mipangilio tofauti tofauti
Kiasi kwamba kwa mtu mwenye upeo wa kawaida ni vigumu sana kuchanganua
Mfano wa kwanza:
P:17.6.2016/F524
E:16.06.2019(a)bc
Wa pili:
19-09-04-17
Wa tatu:
LOT 23D MFG AUG 2015EXP AUG 2020
REG .NO.TAN 00,535 NO2BEH
Wa nne:
MFG MAY 2016
EXP APR 2018
Wa tano:
B13m/D019
E DO 0819
wa sita:
Mfg date Aug 2016
Exp date july 2018
Batch no 0816
Kuna watanzania wenzetu wengi ambao hawawezi kuchanganua huu utitili wa namba, Mpangilio na Lugha inayotumika.
Mamlaka husika liangalieni hili, kwa maana ya kulitafutia ufumbuzi
Naomba kuwasilisha!
1.Inaandikwa kwa kiingereza ingawa inakuwa bidhaa ya kuuza ndani ya nchi inayotumia kiswahili kama lugha ya Taifa
2. Ina mipangilio tofauti tofauti
Kiasi kwamba kwa mtu mwenye upeo wa kawaida ni vigumu sana kuchanganua
Mfano wa kwanza:
P:17.6.2016/F524
E:16.06.2019(a)bc
Wa pili:
19-09-04-17
Wa tatu:
LOT 23D MFG AUG 2015EXP AUG 2020
REG .NO.TAN 00,535 NO2BEH
Wa nne:
MFG MAY 2016
EXP APR 2018
Wa tano:
B13m/D019
E DO 0819
wa sita:
Mfg date Aug 2016
Exp date july 2018
Batch no 0816
Kuna watanzania wenzetu wengi ambao hawawezi kuchanganua huu utitili wa namba, Mpangilio na Lugha inayotumika.
Mamlaka husika liangalieni hili, kwa maana ya kulitafutia ufumbuzi
Naomba kuwasilisha!