Minister Sospeter Muhongo: THE ARROGANT


Mkuu,,,kuna Rasilimali.gani iliyomnufaisha mtanzania wakawaida km si viongozi peke yao
 
Hawa watu wakiingia kwenye madaraka wanafikiri kuwa vyeo vyao ni vya milele hivyo mambo wanayofanya wanafanya ya kuangalia matumbo yao tu badala ya kufanya kazi kwa manufaa ya watanzania. Na kwa mtindo huu kashfa za ufisadi hazitaisha mpaka CCM itolewe madarakani vinginevyo tutaendelea kulalama kila siku bila kupata majibu.
 
Hii nchi wallah nimesingiziwa na nitapgana niondoke nisione wala kusikoa tena uozo huu am not of this level.
 
Ilitakiwa isomeke Muhongo shatters oil dream for local MIDDLE-MEN
 
Mkuu,,,kuna Rasilimali.gani iliyomnufaisha mtanzania wakawaida km si viongozi peke yao

Yote mawili hayakubaliki. Kuwanufaisha viongozi au wateule wachache kama akina Mengi. Tuige mfano wa Norway na mafuta yao.
 
Niseme tu kua siungi mkono wizi wa mali za umma wala matumizi mabaya ya ofisi.

Nachokisema ni kwamba Muhongo ni moja ya mawaziri makini na bora kabisa Tanzania imebahatika kua nao.

Uwe unampenda au humpendi,tukiacha siasa za kinafiki za kitanzania Muhongo is the best maana mambo mengine hayo ni siasa.

Muhongo ni waziri asie mnafiki,he calls a spade a spade,kama uwezo wako ni wa kuuza juisi anakwambia,hakuna unafiki.

Tuliozoea siasa za kimagumashi na kinafiki za kitanzania tutamuona mhongo mbaya na kumtungia mambo. Ni waziri pekee alieweza kuimudu wizara ya nishati na madini.

Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni,tujifunze kukubali ukweli hata kama hatuupendi.
 
Nakubaliana na wewe kwamba he's the best....hata tanesco kwa sasa imetengeneza hasara mara tatu ya alivyoikuta.

Arrogance na brilliance kitu bili tofauti
 
Kudanganya! Kubeba makaratasi yasiyohusiana na hoja, kumfanyia hila mtumishi wa uma afukuzwe kazi, kumuundia mtumishi kesi ya kugushi ili afungwe, kutamba yeye ni bora, haya yanamfanya awe nini? Na 1.6bn bila jasho na bila kuuweka wazi kama ni zawadi inamfanya bora kwa kigezo cha maadili ya ofisi yake? Acha kujitekenya
 
Mtu 'anapofariki' ndio hupata sifa kede kede.
"Miafrika ndivyo tulivyo"
 
Ni profesa muongo sana, taarifa zake zote ni za uongo, mpaka analeta uongo na kuzikana pesa za umma ili ziliwe na waongo,kwa uongo wake mpaka ikalazimika maninja wakaingia bungeni na kumchomoa, dah huyu jamaa ni muongo sana aisee...
 
Kwa utumbo huu hata buku 2 walahi leo hupati!
 


Kamsaidie kusaga miamba si hatumhitaji angekua na akili angesaidia TANESCO isitengeneze hasara kila mwaka....

Alifikiri watanzania wote ni wanafunzi wake kwa kututolea maneno ya kashfa...
.

Kule mapango ya Amboni kuna miamba mingi akacheze nayo tu
 
hakuna profesa muongo kama profesa muhongo
 
Kitu kimoja LAZIMA tukubali, Muhongo licha ya tuhuma alizo nazo, toka achukue wizara ya nishati na madini, upande wa upatikanaji wa umeme, tatizo limepungua kwa kiasi kikubwa tofauti na hapo kabla yake (njelega alikuwa mapumbu yaliyo hasiwa) na pia vijijini umeme unaanza kuwa aghalau kitu cha kawaida. Mnyonge mnyongeni ila haki yake apewe.
 
Uprofesa wa kuua kuiba kudanganya umma ni Muongo kama jina lake asante Kafulila kwa kututoa gizani ckujua kama Chenge Ngeleja Tibaijuka Yona Muongo wamepewa pesa bilioni 1.6 bila kazi yoyote ile ni shiida Rais kama anataka akumbukwe milele afanye maamuzi magumu na kurudisha uadilifu nchini kwa muda uliobaki kwa kumfukuza kazi Muhongo Mswi Tibaijuka JUMATATU. Kama alivyofanya kwa Nchimbi Maige Jairo Lowasa Vuai hawa wakibaki nitahama Nchi.
 
Yes, he is the best for what he did....but am sure ur not on his side.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…