AINA GANI/BRAND NAME?
*screen size inches ngapi?
*inaingiza line?
mhh hapo lazima tuwe macho mazee,tablet inauzwa bei ya mandazi,hiyo si inaweza kukulipukia muda wowote!!
AINA GANI/BRAND NAME?
*screen size inches ngapi?
*inaingiza line?
pata mini android tablet ina 2gb internal ,ina play audio na video,ina wifi,camera na camcoder kwa anayeitaka ani pm price ni buku 80 tu
Mwisho wa mwezi eh,mi tarehe 10 (niko serikalini)nitakujaikifika trh 28 bado hujaiuza ntakuja kuibeba