collinswilliam63
Member
- Oct 12, 2014
- 78
- 48
Habari,
Tumeanzisha kampuni ya Mineral Consultant itakayokua inajihusisha na processing of minerals na extraction of metals from their ores. Tunajihusisha zaidi na Gold, Copper, Silver, Nickel na Coal. Mfano Ore yako ina dhahabu na copper na nia yako kubwa ni kupata dhahabu tu, then tutakuongoza katika njia sahihi ili uweze kupata dhahabu. Pia kama unapata poor recovery katika Plant/Mgodi then tutakushauri ni jinsi gani ya kuongeza recovery na kukushauri kuhusiana na Kemikali sahihi za kutumia katika mgodi wako.
Tunatoa pia huduma za Training katika migodi mbalimbali kuhusiana na mambo ya Mining, Mineral Processing na mengineyo
Gharama zetu ni nafuu sana na kampuni ina Engineers waliokaa katika sekta ya Mining, Mineral Processing na Extractive Metallurgy kwa zaidi ya miaka 5.
Ofisi zetu zipo maeneo ya Ununio mwisho karibu na Chuo cha Islamic
Karibuni
Mawasiliano 0626 911 506
Tumeanzisha kampuni ya Mineral Consultant itakayokua inajihusisha na processing of minerals na extraction of metals from their ores. Tunajihusisha zaidi na Gold, Copper, Silver, Nickel na Coal. Mfano Ore yako ina dhahabu na copper na nia yako kubwa ni kupata dhahabu tu, then tutakuongoza katika njia sahihi ili uweze kupata dhahabu. Pia kama unapata poor recovery katika Plant/Mgodi then tutakushauri ni jinsi gani ya kuongeza recovery na kukushauri kuhusiana na Kemikali sahihi za kutumia katika mgodi wako.
Tunatoa pia huduma za Training katika migodi mbalimbali kuhusiana na mambo ya Mining, Mineral Processing na mengineyo
Gharama zetu ni nafuu sana na kampuni ina Engineers waliokaa katika sekta ya Mining, Mineral Processing na Extractive Metallurgy kwa zaidi ya miaka 5.
Ofisi zetu zipo maeneo ya Ununio mwisho karibu na Chuo cha Islamic
Karibuni
Mawasiliano 0626 911 506
