UPDATE: Huyu Mwandishi wa JamiiForum aliyehariri hii post Kenge kweli huyu. Dola Bilion Moja zinageukaje kuwa Shilingi milioni 220? Hawa waandishi wa Tanzania kenge kweli hawa....
habari yenyewe ni hii: Vodacom has invested over $1 billion in the country in building its second and third generation infrastructure coverage during the past few years, the company announced yesterday.
Inakuwaje Shilingi milioni 220/- hiyo? Mimi nilipost 220,000,000,000/- kaja na kichwa chake nazi eti hiyo ni 220 millioni. Hovyooo....
==================================================
Mheshimiwa Magufuli Salaam. Wewe ni mtu wa Kemia. Kwa hiyo hesabu hazikusumbui...
Lakini wewe si mfanyabiashara! Kwa hiyo kuna mambo ya kibiashara naweza kukudokeza.
Mimi nina mashaka na hii taarifa hadi idara ya Kodi itaponipa uhakika kuwa ni sahihi.
Hii minara mipya ambayo Vodacom anasema amejenga ipo wapi? Isiwe namna ya kukuza gharama za uendeshaji kwa gharama za kubuni hapa ili kukwepa kitu... Hebu fanyeni Audit ya hii gharama tuone....Mmmh...nina mashaka sana na hii gharama!
Mabadilikoooo......MAGUFULI!
MAGUFULIIIII...Mabadiliko!
==================================
habari yenyewe ni hii: Vodacom has invested over $1 billion in the country in building its second and third generation infrastructure coverage during the past few years, the company announced yesterday.
Inakuwaje Shilingi milioni 220/- hiyo? Mimi nilipost 220,000,000,000/- kaja na kichwa chake nazi eti hiyo ni 220 millioni. Hovyooo....
==================================================
Mheshimiwa Magufuli Salaam. Wewe ni mtu wa Kemia. Kwa hiyo hesabu hazikusumbui...
Lakini wewe si mfanyabiashara! Kwa hiyo kuna mambo ya kibiashara naweza kukudokeza.
Mimi nina mashaka na hii taarifa hadi idara ya Kodi itaponipa uhakika kuwa ni sahihi.
Hii minara mipya ambayo Vodacom anasema amejenga ipo wapi? Isiwe namna ya kukuza gharama za uendeshaji kwa gharama za kubuni hapa ili kukwepa kitu... Hebu fanyeni Audit ya hii gharama tuone....Mmmh...nina mashaka sana na hii gharama!
Mabadilikoooo......MAGUFULI!
MAGUFULIIIII...Mabadiliko!
==================================
Chanzo: thecitizen![]()
Vodacom Tanzania managing director Ian Ferrao speaks in Dar es Salaam yesterday when he officially announced his firm?s intention to lead into the digital age and change lives through technology.
Dar es Salaam. Vodacom has invested over $1 billion in the country in building its second and third generation infrastructure coverage during the past few years, the company announced yesterday.
Announcing the firm?s vision to lead into the digital age and change lives using technology, managing director, Mr Ian Ferrao said the investments has helped the company to maintain its tempo as Tanzania?s leading mobile telecommunication operator in terms of subscribers.
Tanzania had a total of 34,251,801 subscriber identification module (Sim) cards of June 2015, according to Tanzania Communications Regulatory Authority (TCRA) figures.
Vodacom had a total of 11,996,217 sim cards to remain the market leader with a 45 per cent market share on its side.
He said the company invests at least Sh200 billion in the country each year, noting that the trend will continue as the company rollouts its new coverage and new technologies including the fourth generation (4G) fiber networks.
?To date, Vodacom has invested over $1bn into the Tanzanian market, building the widest 2G and 3G coverage, with 87 per cent of the population now covered. Supported by our distribution partners and 85,000 M-Pesa agents, Vodacom has already connected more than 12 million subscribers and is currently the highest taxpayer in the industry,? he said.