Minajili

Aloysius

Member
Joined
Mar 1, 2011
Posts
80
Reaction score
9
"Minajili". wengi usema kwa minajili (MAKOSA)X "Min" KWa kiarabu ni "Kwa" hivo basi unavosema 'kwa minajili' ni kama unasema 'kwa kwajili".
Sema mfano: Nitakuja minajili hiyo. Nasio kama msemavo; Nitakuja kwa minajili hiyo.

Wewe unsemaje?
 
Maana yake "minajili" kama inavyoelezwa kamusini ndio "kwa sababu ya", "kwa madhumuni ya". "kwa ajili ya"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…