Mimi tu, mimi pekeyangu nimebaki

CharmingLady

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2012
Posts
18,304
Reaction score
12,997
Poleni kwa mihangaiko ya siku ya leo wana CC...

Mwenzenu marafiki zangu sijui waliambizana???

Yaan marafiki zangu wapatao saba (7) ni wajawazito, ngoja niwataje kihivi...

1. Da' KJ
2. Da' FR
3. Da' NR
4. Da' NK
5. Da' KC
6. Da' BM
7. Da' RA

Mimi peke yangu nimebaki, mimi
tu, kukuleteeni habari!!!!

Update: Da' FR kajifungua leo mtoto wa kike... Hongera sana dada na Mwenyezi Mungu akulinde wewe pamoja na mtoto

Ewe mwana CC ungana nami kumpongeza Da'FR.....
 

charminglady na wewe una ki zygot
 
Last edited by a moderator:
Unataka.....?
Wanaume wenye mbegu zenye vichwa vinavyogonga yai na kulirutubisha mnahitajika huku................
 
Unataka.....?
Wanaume wenye mbegu zenye vichwa vinavyogonga yai na kulirutubisha mnahitajika huku................

Nataka saaana shost... yan nawaonea wivuuuu aiseee!!!!
 
Hahahahahahahahha
my bosss don tell me hata likizo imekuwa siyo likizo......................
Mmmmmmmmh ..............................
 
Hahahahahahahahha
my bosss don tell me hata likizo imekuwa siyo likizo......................
Mmmmmmmmh ..............................

My lawyer we acha tu... nilitegemea likizo ijibu lakini hola yaan am :crying: :crying: tu hapa!!!!!
 
Watakuja dear wala usijali,wew jiandae tuu..sasa sijajua utazipokea kwa mtindo upi...!

Nawasubiri kwa hamu saaana..... wazitume kwa njia ya.posta then me nitashortlist mbegu zenye ubora na zenye TBS :BECKY: :BECKY:
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…