hivi anafikiri mungu alikosea kuziumba zile mbili ziwe zinategemeana eeh!!!! huyu siku si nyingi tutampoteza tutamkuta amelewa kwenye ulesbianeeee!!!
Duniani kuna mambo jamani.
kuna mdada mwenzangu kaomba ushauri kwa wana MMU kuwa anataka kuacha punyeto.kwangu thubutu hapa siachi kitu kwakwel wana jamii wenzangu niwe tu mkweli
mwaka wa pili cna boyfrend wala mchumba kipindichote hicho mwanaumewangu vidole vyangu na cjawahi tena kutamani kuwa na mwanaume tokea nianz kamchezo haka ila asikwambie mtu bora mwenyewe kuliko shulba zenye maumivu ya kuja kuachwa
eeee!!!
Duniani kuna mambo jamani.
kuna mdada mwenzangu kaomba ushauri kwa wana MMU kuwa anataka kuacha punyeto.kwangu thubutu hapa siachi kitu kwakwel wana jamii wenzangu niwe tu mkweli