MIMI RAIS MAGUFULI Naleta ombi langu

MIMI RAIS MAGUFULI Naleta ombi langu

jukiha

Member
Joined
Jan 9, 2017
Posts
72
Reaction score
27
MIMI RAIS MAGUFULI naleta ombi langu kwako ukiwa kama kiongozi na mfanya maamuzi yote makubwa, Mimi Ni kijana katika taifa lako nimehitim chuo kikuu Ni miaka mitatu sasa imeisha ajira za serkali hamna na kauli yako kuu tujiajiri ,pamoja na kuwa nimesomeshwa na mama yangu mjane kwa kukaanga chapati ambaye hakuwa na msaada kwangu zaidi ya elimu nilijitahidi na kuhitim chuo kikuu mama hakuwa na mtaji wa kunipa nikajiajiri nilitumia jitihada zangu nikapata mtaji nikajiari katika kilimo lakin nilipata hasara kubwa kutokana na solo la zao La nyanya kuwa bovu na faida kidogo niliyopata iliishia kwenye matibabu ya mama baada ya kuanza kuugua cancer ya Shinto ya kizazi na juzi nimemzika baada ya kupoteza Maisha bila kuonja matunda ya mwanae aliyemsomesha kwa kuungua kupika chapati hapa nimebak na wadogo zangu wananitegemea mimi na sijui hata nawasaidiaje mana kilimo mtaji sina tena na kila napotuma maombi yakazi naambiwa walim wapo wa kutosha ,najua tupo yatima wengi kama Mimi na wengine wenye matatizo labda hata zaidi yangu na elimu tunayo naomba mtusaidie kupaza sauti japo serkali itusikie tupate kuajiriwa chaguzi hizi zipungue ili na sisi wanyonge tupate ahueni ,mkinisaidia kusambaza ujumbe huu umfikie raid wetu nitawashukuru sana ASANTENI
 
Umeharibu kuingiza suala la uchaguzi as if ni kikwazo katika kuajiriwa kwako.
Awamu iliyopita hakukuwa na chaguzi za mara kwa mara lakini suala la ajira lilibakia kuwa changamoto.
 
MIMI RAIS MAGUFULI naleta ombi langu kwako ukiwa kama kiongozi na mfanya maamuzi yote makubwa, Mimi Ni kijana katika taifa lako nimehitim chuo kikuu Ni miaka mitatu sasa imeisha ajira za serkali hamna na kauli yako kuu tujiajiri ,pamoja na kuwa nimesomeshwa na mama yangu mjane kwa kukaanga chapati ambaye hakuwa na msaada kwangu zaidi ya elimu nilijitahidi na kuhitim chuo kikuu mama hakuwa na mtaji wa kunipa nikajiajiri nilitumia jitihada zangu nikapata mtaji nikajiari katika kilimo lakin nilipata hasara kubwa kutokana na solo la zao La nyanya kuwa bovu na faida kidogo niliyopata iliishia kwenye matibabu ya mama baada ya kuanza kuugua cancer ya Shinto ya kizazi na juzi nimemzika baada ya kupoteza Maisha bila kuonja matunda ya mwanae aliyemsomesha kwa kuungua kupika chapati hapa nimebak na wadogo zangu wananitegemea mimi na sijui hata nawasaidiaje mana kilimo mtaji sina tena na kila napotuma maombi yakazi naambiwa walim wapo wa kutosha ,najua tupo yatima wengi kama Mimi na wengine wenye matatizo labda hata zaidi yangu na elimu tunayo naomba mtusaidie kupaza sauti japo serkali itusikie tupate kuajiriwa chaguzi hizi zipungue ili na sisi wanyonge tupate ahueni ,mkinisaidia kusambaza ujumbe huu umfikie raid wetu nitawashukuru sana ASANTENI

Tafuta twiter account ya polepole na Msigwa watag huko naamini itamfikia kama lengo ni kumfikia tu lakini kama ni kumtaka afanye maamuzi achana nayo we pambana na hali yako achana na ajira. Tune mind yako kujitegemea. anzisha tuition centre kama wewe unapenda ualimu. nenda shule za private english medium ongea na wamiliki wa shule hizo show them you have ability to teach kwenye fan uliyosomea. omba hata kujitolea kwa wiki moja.

if you this nakuhakikishia ndani ya mwezi utapata ajira ama utakuwa na source of income.
 
MIMI RAIS MAGUFULI naleta ombi langu kwako ukiwa kama kiongozi na mfanya maamuzi yote makubwa, Mimi Ni kijana katika taifa lako nimehitim chuo kikuu Ni miaka mitatu sasa imeisha ajira za serkali hamna na kauli yako kuu tujiajiri ,pamoja na kuwa nimesomeshwa na mama yangu mjane kwa kukaanga chapati ambaye hakuwa na msaada kwangu zaidi ya elimu nilijitahidi na kuhitim chuo kikuu mama hakuwa na mtaji wa kunipa nikajiajiri nilitumia jitihada zangu nikapata mtaji nikajiari katika kilimo lakin nilipata hasara kubwa kutokana na solo la zao La nyanya kuwa bovu na faida kidogo niliyopata iliishia kwenye matibabu ya mama baada ya kuanza kuugua cancer ya Shinto ya kizazi na juzi nimemzika baada ya kupoteza Maisha bila kuonja matunda ya mwanae aliyemsomesha kwa kuungua kupika chapati hapa nimebak na wadogo zangu wananitegemea mimi na sijui hata nawasaidiaje mana kilimo mtaji sina tena na kila napotuma maombi yakazi naambiwa walim wapo wa kutosha ,najua tupo yatima wengi kama Mimi na wengine wenye matatizo labda hata zaidi yangu na elimu tunayo naomba mtusaidie kupaza sauti japo serkali itusikie tupate kuajiriwa chaguzi hizi zipungue ili na sisi wanyonge tupate ahueni ,mkinisaidia kusambaza ujumbe huu umfikie raid wetu nitawashukuru sana ASANTENI
Piga moyo konde
 
MIMI RAIS MAGUFULI naleta ombi langu kwako ukiwa kama kiongozi na mfanya maamuzi yote makubwa, Mimi Ni kijana katika taifa lako nimehitim chuo kikuu Ni miaka mitatu sasa imeisha ajira za serkali hamna na kauli yako kuu tujiajiri ,pamoja na kuwa nimesomeshwa na mama yangu mjane kwa kukaanga chapati ambaye hakuwa na msaada kwangu zaidi ya elimu nilijitahidi na kuhitim chuo kikuu mama hakuwa na mtaji wa kunipa nikajiajiri nilitumia jitihada zangu nikapata mtaji nikajiari katika kilimo lakin nilipata hasara kubwa kutokana na solo la zao La nyanya kuwa bovu na faida kidogo niliyopata iliishia kwenye matibabu ya mama baada ya kuanza kuugua cancer ya Shinto ya kizazi na juzi nimemzika baada ya kupoteza Maisha bila kuonja matunda ya mwanae aliyemsomesha kwa kuungua kupika chapati hapa nimebak na wadogo zangu wananitegemea mimi na sijui hata nawasaidiaje mana kilimo mtaji sina tena na kila napotuma maombi yakazi naambiwa walim wapo wa kutosha ,najua tupo yatima wengi kama Mimi na wengine wenye matatizo labda hata zaidi yangu na elimu tunayo naomba mtusaidie kupaza sauti japo serkali itusikie tupate kuajiriwa chaguzi hizi zipungue ili na sisi wanyonge tupate ahueni ,mkinisaidia kusambaza ujumbe huu umfikie raid wetu nitawashukuru sana ASANTENI
Kwenye uchaguzi hapo umeonekana kama mpinzani, nakushauri edit sehemu zenye maneno ya kiupinzani alafu upost tena


Najua umeandika kwa hisia hii ndio tatizo mdogo wangu.

Fanya hivyo ,
 
MIMI RAIS MAGUFULI naleta ombi langu kwako ukiwa kama kiongozi na mfanya maamuzi yote makubwa, Mimi Ni kijana katika taifa lako nimehitim chuo kikuu Ni miaka mitatu sasa imeisha ajira za serkali hamna na kauli yako kuu tujiajiri ,pamoja na kuwa nimesomeshwa na mama yangu mjane kwa kukaanga chapati ambaye hakuwa na msaada kwangu zaidi ya elimu nilijitahidi na kuhitim chuo kikuu mama hakuwa na mtaji wa kunipa nikajiajiri nilitumia jitihada zangu nikapata mtaji nikajiari katika kilimo lakin nilipata hasara kubwa kutokana na solo la zao La nyanya kuwa bovu na faida kidogo niliyopata iliishia kwenye matibabu ya mama baada ya kuanza kuugua cancer ya Shinto ya kizazi na juzi nimemzika baada ya kupoteza Maisha bila kuonja matunda ya mwanae aliyemsomesha kwa kuungua kupika chapati hapa nimebak na wadogo zangu wananitegemea mimi na sijui hata nawasaidiaje mana kilimo mtaji sina tena na kila napotuma maombi yakazi naambiwa walim wapo wa kutosha ,najua tupo yatima wengi kama Mimi na wengine wenye matatizo labda hata zaidi yangu na elimu tunayo naomba mtusaidie kupaza sauti japo serkali itusikie tupate kuajiriwa chaguzi hizi zipungue ili na sisi wanyonge tupate ahueni ,mkinisaidia kusambaza ujumbe huu umfikie raid wetu nitawashukuru sana ASANTENI
Pole, ila Elimu ya Tanzania Ni ya Kipuuzi Sana. Yaani uandishi wako haulingani na mtu aliesoma. Umeanza kama vile wewe Ni Rais Magufuli, how on Earth can someone write "MIMI RAIS MAGUFULI naleta ombi langu kwako Kama kiongozi..."? Unaonaje ungeanza uandishi wako kwa kuondoa neno "MIMI" na ukaandika "RAIS MAGUFULI naleta ombi langu kwako ukiwa Kama kiongozi ..."? Unaweza dhani Tatizo Ni Ajira kumbe Tatizo ni wewe! Kwa uandishi Kama huu application yako ikifika mezani kwangu Siwezi kuipa uzito unaostahili.
 
Nimestuka baada ya kusoma kichwa cha habari nikafikiri hatimaye Mh Rais kajitokeza waziwazi kwa wana JF ....pole ndugu kwa kifiwa na mama lakini usikate tamaa pambana hadi tone LA mwisho lakini ajira serikalini kwa sasa ni ngumu usikate tamaa utatoka siku na SAA usiyoijua
 
Mkuu hapo ulipoingizia tu suala la chaguzi utawatia ukakasi mkubwa sana wana Lumumba na haya malalamiko yako watayawekea uzibe hayatafika jumba jeupe.

Jitahidi basi siku nyingine ukiandika andika vizuri na kwa mpangilio wa kisomi, na hivi huna kazi ukiandika vizuri unaweza ukawa unapalilia CV.
 
Back
Top Bottom