mkuu huko kitaani kwenu hakuna wanawake mpk unakuja humu ndani, yani unataka wanawake wa JF au inakuwaje mkuu, any way nisikukatishe tamaa subiri unaweza kubaatisha kila la kheri
mkuu huko kitaani kwenu hakuna wanawake mpk unakuja humu ndani, yani unataka wanawake wa JF au inakuwaje mkuu, any way nisikukatishe tamaa subiri unaweza kubaatisha kila la kheri
Waliokuwa JF wanatokea wapi mkuu? ni hao hao wa mtaani ila tunakuta kwa njia tofauti tu!! unajua kuwa changudoa wa sinza ndiyo unaye mtongozaga kimara bila kujua kama ni changudoa na anakukataa vile vile............FIKIRIA KIDOGO
Waliokuwa JF wanatokea wapi mkuu? ni hao hao wa mtaani ila tunakuta kwa njia tofauti tu!! unajua kuwa changudoa wa sinza ndiyo unaye mtongozaga kimara bila kujua kama ni changudoa na anakukataa vile vile............FIKIRIA KIDOGO