kissa anyigulile
JF-Expert Member
- Apr 21, 2017
- 1,550
- 1,744
Na hakusaidiwa hochote na waliomzuguka, mara nyingi hata ndugu zake wa damu, zaidi ya kumsema vibaya na kusubiri hatima yake mpaka alipojikwamua yeye mwenyeweYou must be a very qualified Doctor. Congulatulations!
Ni kawaida tena hauko peke yako.Habari wana jamii forums.
Twende moja kwa moja kwnye mada.
Mimi ni kijana wa rika fulani 20-30 ni mfanya biashara.
Sababu zilzonifanya niandike huu uzi ni kutokana na maisha ninayoyaishi mpaka muda mwingine najikuta najishangaa na kujiona ni kama mtu wa ajabu
Iko hivi kwa kipindi changu chote huwa sinaga marafiki, watu wangu wa karbu especially ninaoishi nao mtaa mmoja wanajitaidi sana kujenga urafiki na mimi kwa kuja nyumbani na kunijulia hali mara nyngi ila mimi binafsi sinaga hali hiyo ya kusema niende kwa rafiki kumtembelea hata kama yuko karbu na mm. Mpaka sasa nina marafiki wawili tu ambao niko based nao kwa upande wa nyumban yaani mtaani ambao naweza kwenda mahala pao ama kuspend some areas with them ila wengine ote waliobaki ni kuwasalimia kwa salamu tu njiani bac
In short ni kwamba sina tabia ya kujichanganya na watu yaani marafiki ,niko radhi nikae ndani kutwa nzima.
Sabubu ambazo nimejaribu kuchunguza na kuziona kwangu ni kwamba. ''huwa napenda sana kukaa mahala tulivu especially alone'' pia huwa najikuta mtu ambaye nakua interested naye ni yule ambaye namuona anakitu ambacho kinaweza kuwa na mchango kwangu kwa kifupi ambaye ni mfanya biashara pia.
Sifuatilii KITU CHOCHOTE .
Sifuatilii mpira
Sifuatili ngumi, kuogelea ,basket wala mchezo wowote ule katika huu ulimwengu.
Kilichinileta humu ni mnisaidie niweze kujitambua kwamb mimi ni mtu wa aina gani? Huenda labda bdo cijajitambua bado wapendwa
Naombeni msaada wapendwa huenda siko sahihi kwa haya maisha ninayoishi....
Wewe ni introvert mkuu.Habari wana jamii forums.
Twende moja kwa moja kwnye mada.
Mimi ni kijana wa rika fulani 20-30 ni mfanya biashara.
Sababu zilzonifanya niandike huu uzi ni kutokana na maisha ninayoyaishi mpaka muda mwingine najikuta najishangaa na kujiona ni kama mtu wa ajabu
Iko hivi kwa kipindi changu chote huwa sinaga marafiki, watu wangu wa karbu especially ninaoishi nao mtaa mmoja wanajitaidi sana kujenga urafiki na mimi kwa kuja nyumbani na kunijulia hali mara nyngi ila mimi binafsi sinaga hali hiyo ya kusema niende kwa rafiki kumtembelea hata kama yuko karbu na mm. Mpaka sasa nina marafiki wawili tu ambao niko based nao kwa upande wa nyumban yaani mtaani ambao naweza kwenda mahala pao ama kuspend some areas with them ila wengine ote waliobaki ni kuwasalimia kwa salamu tu njiani bac
In short ni kwamba sina tabia ya kujichanganya na watu yaani marafiki ,niko radhi nikae ndani kutwa nzima.
Sabubu ambazo nimejaribu kuchunguza na kuziona kwangu ni kwamba. ''huwa napenda sana kukaa mahala tulivu especially alone'' pia huwa najikuta mtu ambaye nakua interested naye ni yule ambaye namuona anakitu ambacho kinaweza kuwa na mchango kwangu kwa kifupi ambaye ni mfanya biashara pia.
Sifuatilii KITU CHOCHOTE .
Sifuatilii mpira
Sifuatili ngumi, kuogelea ,basket wala mchezo wowote ule katika huu ulimwengu.
Kilichinileta humu ni mnisaidie niweze kujitambua kwamb mimi ni mtu wa aina gani? Huenda labda bdo cijajitambua bado wapendwa
Naombeni msaada wapendwa huenda siko sahihi kwa haya maisha ninayoishi....
Jaribu kubadili aina ya maisha unayoishi uone kama bado utaendelea kuwa hivyoHabari wana jamii forums.
Twende moja kwa moja kwnye mada.
Mimi ni kijana wa rika fulani 20-30 ni mfanya biashara.
Sababu zilzonifanya niandike huu uzi ni kutokana na maisha ninayoyaishi mpaka muda mwingine najikuta najishangaa na kujiona ni kama mtu wa ajabu
Iko hivi kwa kipindi changu chote huwa sinaga marafiki, watu wangu wa karbu especially ninaoishi nao mtaa mmoja wanajitaidi sana kujenga urafiki na mimi kwa kuja nyumbani na kunijulia hali mara nyngi ila mimi binafsi sinaga hali hiyo ya kusema niende kwa rafiki kumtembelea hata kama yuko karbu na mm. Mpaka sasa nina marafiki wawili tu ambao niko based nao kwa upande wa nyumban yaani mtaani ambao naweza kwenda mahala pao ama kuspend some areas with them ila wengine ote waliobaki ni kuwasalimia kwa salamu tu njiani bac
In short ni kwamba sina tabia ya kujichanganya na watu yaani marafiki ,niko radhi nikae ndani kutwa nzima.
Sabubu ambazo nimejaribu kuchunguza na kuziona kwangu ni kwamba. ''huwa napenda sana kukaa mahala tulivu especially alone'' pia huwa najikuta mtu ambaye nakua interested naye ni yule ambaye namuona anakitu ambacho kinaweza kuwa na mchango kwangu kwa kifupi ambaye ni mfanya biashara pia.
Sifuatilii KITU CHOCHOTE .
Sifuatilii mpira
Sifuatili ngumi, kuogelea ,basket wala mchezo wowote ule katika huu ulimwengu.
Kilichinileta humu ni mnisaidie niweze kujitambua kwamb mimi ni mtu wa aina gani? Huenda labda bdo cijajitambua bado wapendwa
Naombeni msaada wapendwa huenda siko sahihi kwa haya maisha ninayoishi....
Ni kawaida tena hauko peke yako.
Mimi sinywi pombe, sivuti sigara, siyo mtu partying wala totoz, siyo shabiki wa mpira, betting wala movies [emoji1787][emoji1787]
Yaani mimi maisha yangu nayajua mwenyewe tu na niko vizuri kabisa, nikiwa stressed nalala tu.
Muda mwingi nazurula tu mitandaoni, naandika andika basi.
Tena hata kupigiwa simu siku hizi hususani zisizo na maana yoyote nakereka sana[emoji34]
hapana ni zaidi ya moja na wote walinipenda wenyewe.si unajua Tena introvert ni waoga kutongaza mademu.[emoji3][emoji3].!
So mademu utupenda wenyewe kutokana na upole wetu.!
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] so upole ndo unawabeba.so unaishije unanunua malayahapana ni zaidi ya moja na wote walinipenda wenyewe.si unajua Tena introvert ni waoga kutongaza mademu.[emoji3][emoji3].!
So mademu utupenda wenyewe kutokana na upole wetu.!
kumbe mpo wengi[emoji3][emoji3][emoji3]Ulijuaje!![emoji123] huwa hatunaga muda na mademu ila tunajikuta kwenye mahusiano pasipo kutongoza
wewe mzee now una demu?Yani huna tofaut kabisa na mm. Mda mwngne kama naona huyu simu yake itakuwa haina maana huwa sipokei kabisa
Si kununia malaya. Ila mademu wanatupenda wenyewe, na hatunaga upumbavu huo wa kununua malaya ila wapo wachache wenye tabia hyo[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] so upole ndo unawabeba.so unaishije unanunua malaya
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Si kununia malaya. Ila mademu wanatupenda wenyewe, na hatunaga upumbavu huo wa kununua malaya ila wapo wachache wenye tabia hyo
introvert itabidi mtengeneze umoja wenuSi kununia malaya. Ila mademu wanatupenda wenyewe, na hatunaga upumbavu huo wa kununua malaya ila wapo wachache wenye tabia hyo
Bila kukupesa wewe upo chaputaSi kununia malaya. Ila mademu wanatupenda wenyewe, na hatunaga upumbavu huo wa kununua malaya ila wapo wachache wenye tabia hyo
Nawe uko hivo mkuu?Sielew n nn kinafanya watu waamin mtu anayefanya mishe zake ni mchoyo ,mbinafsi sijuin nn kinawakumba watu wenye hyo akil
Hamjui watu aina hii wanaptia shda gan na wanakuwa affected sana pale wanapoangushiwa lawama ambzo kwao si za kwel
Tunaishi dunia tofauti ni ngumu kumuelewa introvent kama ww sio introvent. Kuwa introvents ni zaid ya mateso kwa jamii za kiafrica
Sasa kwanini unajiita tajiri magomeni?eeee aisee.vipi unajua sehemu yenye vibarua?
YapNawe uko hivo mkuu?
Hahah daah aiseeee..Sasa kwanini unajiita tajiri magomeni?
[emoji1]Hahah daah aiseeee..
Itabidi muhamie majuu huku hakuwafai