Himawari
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 2,609
- 1,698
ndugu acha utani issue ni kwamba niiache au coz wanafahamiana na mke wangu
Iache tuu maana wakati unapanda mbegu ishu ya kuwa anafahamiana na mkeo hukuikumbuka kabisa!!
ndugu acha utani issue ni kwamba niiache au coz wanafahamiana na mke wangu
Waungwana nina mke na watoto watatu, sasa marafiki imetokea nimempa mimba staffmember wangu sasa sijui nifanyeje.
Naombeni ushauri coz nimekwama.
Plz nd plz help mem
Mtunze kwa upendo, usimfanye awe na stress, mpeleke kliniki na mpimwe wote. mtoto akishazaliwa mpe haki zote. Kuhusu mkeo akili kichwani mwako, ila usirudie tena kuchepuka.Waungwana nina mke na watoto watatu, sasa marafiki imetokea nimempa mimba staffmember wangu sasa sijui nifanyeje.
Naombeni ushauri coz nimekwama.
Plz nd plz help mem
Acha usumbufu bana wakati unamtier hukujua kama anafahamiana na mkeo?
na hivi wife ndo kidume ndani jiandae kutupiwa zubeda yako nje
Waungwana nina mke na watoto watatu, sasa marafiki imetokea nimempa mimba staffmember wangu sasa sijui nifanyeje.
Naombeni ushauri coz nimekwama.
Plz nd plz help mem