mohamedidrisa789
JF-Expert Member
- Jun 20, 2015
- 5,110
- 21,657
Nafanya kazi za wiring nzuri kwa bei ya kawaida tu ya Mtanzania, naenda popote pale kikubwa maelewano. Nina uzoefu wa wiring na pia sidharau kazi kama una kifaa chochote cha umeme unaitaji kufungiwa basi we nitafute nije kufanya kazi, nipo Dar es Salaam
Mawasiliano nipigie 0652868486.
Mawasiliano nipigie 0652868486.