mama la mama 2
Senior Member
- Sep 7, 2017
- 198
- 98
Hawafiki bei mkuuHaujauza hiki kiwanja mpaka Leo? Kweli vyuma vimekaza.
Hawafiki bei mkuuHaujauza hiki kiwanja mpaka Leo? Kweli vyuma vimekaza.
Mkuu nataka mwanamke mwembamba ila nyuma kuwe manshallah kimtindo awe na karangi ka kuvutia kama yupo mkoan aje na akili zake tu tabia ataikuta hapa darNajihusisha kukukutanisha na watu wanaojihusisha na maswala mbalimbali.
Wafuatao ni moja ya huduma ambazo tunatoa;
Maswala ya viwanja, nyumba, frem, magari, mazao mbalimbali, ma-house girl / house boy, mchumba, rafiki, walimu wazuri wa tuition, solar power, vifaa vya ujenzi, kusafirisha mizigo popote Tanzania na Afrika Mashariki, biashara za mifugo na wanyama jamii ya ndege kama kuku, kware, njiwa.
Pia tunajihusisha na kukutafutia mahoteli mazuri popote ulipo.
Karibu sana tunaweza kukuunganisha na watu wanaotoa zaidi ya hizo huduma.
Karibu sana..
gesi aina gani mkuu. taja bei.Tunahama morogoro..tunauza vifaa vya ndani..sofa..kitanda..godoro...jiko la gesi...mtungi wa kg 15 wa gesi...tafadhali aliye tayari kuja kuviona atupm