Eghorohe
JF-Expert Member
- Aug 29, 2011
- 220
- 78
Nilipita uwanja mmoja huko mbezi kwa msuguri uwanja ambao Juma Kaseja huwa anafanyia mazoezi binafsi kwani upo karibu na bangaloo lake,timu moja ya watoto ilifunga wenzao wakashangilia sana,mtoto mojawapo wa timu iliyofunga bao akaita kwa sauti CHADEMAAA! wote wakaitikia kwa pamoja KAMATA MWIZI MEN ! nilipo uliza mwizi ni nani? nikaambiwa ni mafisadi + wezi wa kura kwenye uchaguzi! dah kwa kizazi hiki patachimbika hapo siku za usoni!