Mimi ni Belinda, sikitiko langu mwenyewe!

Mimi ni Belinda, sikitiko langu mwenyewe!

Ni Stori ya kutunga yenye ukweli MKUU au kahadithiwa hivyo kuna Baadhi ya ishu lazima aongeze mwenyewe Hali itakayomfanya aonekane muongo ingawaje Stori inaweza kuwa kweli
Basi asiseme ni ya kweli kama ameongeza lolote
 
Rekebisha kuhusu mshahara wako elfu10 kwa mwezi otherwise umeicopy somewhere sio yako umeedit baadhi ya vitu
Sasa huyo Belinda kazaliwa miaka 40 iliopita kwa hesabu za haraka ni 1982 alikuja dar miaka ya 94.....
 
Ni Stori ya kutunga yenye ukweli MKUU au kahadithiwa hivyo kuna Baadhi ya ishu lazima aongeze mwenyewe Hali itakayomfanya aonekane muongo ingawaje Stori inaweza kuwa kweli
Ni true story sio urongo mi naiwasilisha tuu!
 
Hakuna ukweli hapo... Kwa umri wa miaka 40 ni wazi kazi huyo mtu angefanya miaka ya 1990s mpaka nwanzoni mwa 2000. Huo mshahara sio kweli hivyo hadithi nzima ni ya uongi
Ndio 94 kaingia dar kama umekaa dar utakubaliana na story yake dar maeneo mengi yalikuwa bado mapori! Na huo mshahara ndio alianza nae mimi nawasilisha mkuu!
 
Sasa huyo Belinda kazaliwa miaka 40 iliopita kwa hesabu za haraka ni 1982 alikuja dar miaka ya 94.....
Kadanganya parefu sana kwenye pesa ila umri nahisi yuko sawa hakuhitimu primary school
 
Kuna kenge zimemsagia kunguni mleta thread mpaka kajifinyia kwa ndani
 
Back
Top Bottom