Mimi natania tu....

Mimi natania tu....

holygrail

JF-Expert Member
Joined
Mar 24, 2012
Posts
1,303
Reaction score
597
Mimi napenda utani sana wajameni....

1.mara ghafla chadema wanashinda kwa kishindo uchaguzi wa 2015...natania tu...

2.ghafla bin vuu dr. Salaha anakuwa rais wa JMT halafu mbowe anakuwa PM. Teh!teh!teh!...me natania tu!

3.kutahamaki Le mutuz anaacha utoto na kuwa mtu mzma kimawazo afu anagombea jimbo la babake anachaguliwa then anapewa uwaziri mkuu....hahahahahah hehehehehe...jamani mi natania tu..,


4.ghafla bunge maalum la katiba linapitisha serikali tatu halafu kila serikali inajitegemea jamani....
Hahahahahah!....me natania tu!....


5.mara shaaaaaa!! Zitto kabwe anagombea ubunge 2015 kupitia ccm na anashinda....
Hahahahahah...mbavu zangu jamani..ila mi natania..


6.mara edward lowasa anamshinda membe na kupeperusha bendera ya ccm 2015.....
Teh!teh!teh!...me natania tu!


Kwani wenzangu hampendi matani wakuu. Hebu tutaniane basi jamani.
 
hahahah!...jamani karibu tutaniane wakuu!
 
-Kufumba na kufumbua Invisible anakulima ban ya mwezi kwa sababu avatar yako si adilifu......natania tu wajemeni...
-Ridhwani Kikwete anateuliwa waziri wa wizara mpya ya Vijana na Ujasiriamali.........natania tu.......
-natania tu...........Phillip Mangula anamshauri Kinana ajiuzulu ukatibu mkuu ccm kwa sababu yeye (Kinana) ni mzigo.....huo ni utani tu jamani.
-Mwaka 2015 Ridhwani anagombea urais na anashinda.....oh, natania tu.
-@Quotes master anateuliwa mod wa jukwaa la utani .......natania wajemeni.
 
Last edited by a moderator:
-Kufumba na kufumbua Invisible anakulima ban ya mwezi kwa sababu avatar yako si adilifu......natania tu wajemeni...
-Ridhwani Kikwete anateuliwa waziri wa wizara mpya ya Vijana na Ujasiriamali.........natania tu.......
-natania tu...........Phillip Mangula anamshauri Kinana ajiuzulu ukatibu mkuu ccm kwa sababu yeye (Kinana) ni mzigo.....huo ni utani tu jamani.
-Mwaka 2015 Ridhwani anagombea urais na anashinda.....oh, natania tu.
-@Quotes master anateuliwa mod wa jukwaa la utani .......natania wajemeni.

hahahah!...mtani kweli utani unaujua asee!...
 
Last edited by a moderator:
Mara 2015 Kapuya anakuwa waziri mkuu halafu kale kabinti alikokachaka.....kanakuwa kabunge ka kuteuliwa...haahaaa natania tu jamani
 
-Kufumba na kufumbua Invisible anakulima ban ya mwezi kwa sababu avatar yako si adilifu......natania tu wajemeni...
-Ridhwani Kikwete anateuliwa waziri wa wizara mpya ya Vijana na Ujasiriamali.........natania tu.......
-natania tu...........Phillip Mangula anamshauri Kinana ajiuzulu ukatibu mkuu ccm kwa sababu yeye (Kinana) ni mzigo.....huo ni utani tu jamani.
-Mwaka 2015 Ridhwani anagombea urais na anashinda.....oh, natania tu.
-@Quotes master anateuliwa mod wa jukwaa la utani .......natania wajemeni.

Tena hiyo wizara mpya atakayopewa dogo, makao makuu yake itakuwa pale alipokuwa Warioba na tume yake
 
Last edited by a moderator:
mara pa serikari 3 hiv ya muungano itakaa wap ando katikati ya bahari....
 
Mara-----------------------.Njoja leo nikafikirie kwanza cha kuja kunatia Halafu kesho nitakuja He He Hee NATANIA TU.
 
Mara Joseph Sinde Warioba anasimama kwa ticketi ya CCM 2015 na kushinda kuwa Rais wa jamhuri ya muungano. Lowasa awa makamu wa rais, Sumaye mshauri mkuu wa rais, Dr.Slaa waziri wa mambo ya ndani na Mbowe waziri kiongozi Zanzibar. Heheheeeee mie natania tuuuu.
 
Mimi napenda utani sana wajameni....

1.mara ghafla chadema wanashinda kwa kishindo uchaguzi wa 2015...natania tu...

2.ghafla bin vuu dr. Salaha anakuwa rais wa JMT halafu mbowe anakuwa PM. Teh!teh!teh!...me natania tu!

3.kutahamaki Le mutuz anaacha utoto na kuwa mtu mzma kimawazo afu anagombea jimbo la babake anachaguliwa then anapewa uwaziri mkuu....hahahahahah hehehehehe...jamani mi natania tu..,


4.ghafla bunge maalum la katiba linapitisha serikali tatu halafu kila serikali inajitegemea jamani....
Hahahahahah!....me natania tu!....


5.mara shaaaaaa!! Zitto kabwe anagombea ubunge 2015 kupitia ccm na anashinda....
Hahahahahah...mbavu zangu jamani..ila mi natania..


6.mara edward lowasa anamshinda membe na kupeperusha bendera ya ccm 2015.....
Teh!teh!teh!...me natania tu!


Kwani wenzangu hampendi matani wakuu. Hebu tutaniane basi jamani.

MKUU HUU SIO UTANI MBONA BALI NI UKWELI MTUPU ULIOUFICHA kweye utani Umeniuzi Sana Teh Teh Teh MI NATANIA
 
Mara timu ya Tanzania itafika 2050 haijawahi kucheza kombe la Africa - kwi kwi kwi natania tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom