john mtulivu
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 225
- 242
Ama nimekosea chalii?[emoji23][emoji23][emoji23]
HahahahhNaunga mkono hoja,mleta thread fanyia kazi huu ushauri ili usionekane mbinafsi!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Unaeza toa kwa dem hata mamilion lkn kama unapata kifuta jasho, huoni hasara, lkn unaeza toa hata jero lkn kutokana na uzinguliwa ikakuuma sana..Mmmhhhh uyo mwenyew kumbe bei chee hivyo[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Mkuu kweli hawa si ndiyo wakina slay queen, kazi ni kutafua attentions maana sioni kama ni sheria lazima kila uzi mtu utie coment sasa haka kanijiita baby doll anamkejeri jamaa mavazi yake unajua ni ujinga sana, kazi ni kutafuta attention ili vijana wakurupuke waende pm huko ni ujinga nimeona nisikae kimya nimpe muongozo ingawa nimeambulia matusi nmegundua ni stress za kukosa bwana
Sent using Jamii Forums mobile app
Sikuwa na la kufanya maana nlimpenda na sikitaka kumuudhi kwa lolote..hiyo danger zone ulihakiki??
Upo sawa kabisa inabidi alate mawasiliano tumsaidie mdogo wetu kumweka shemela kwenye mstari sahihi.[emoji23][emoji23][emoji23]
Sikutaka muimagine aliefanyiwa kitendo hicho ni nani maana mngetumia mda mwing kuwaza sana kuliko kuchangia mada..Sasa wewe si umetuwekea picha ili tucomment? Na tuijadili?
Au dhumuni lako lilikuwa nini?
sasa nikupe taarifa kuwa hapendwi mtu linapendwa pochi.Sikuwa na la kufanya maana nlimpenda na sikitaka kumuudhi kwa lolote..
Sent using Jamii Forums mobile app
Wadada wengi wana kihoro!![emoji23][emoji23][emoji23]Mwanamke wa sampuli hii unaweza juwa maisha anayoishi na mahala anapokaa hususani mwanamke mwenye utulivu zero na mropokaji, matusi kwake ni fasta, eti falaa nimemshangaa sana, ana stress sana nimeona nisibishane nae asinitafutie ban, eti hana cha kushauri amelazimika kujadili vazi la mwanaume kwani ni lazima aseme kwamba ni sheria sasa kila uzi uandike kitu, ana ujinga sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Amazing, fantastic upo perfect bro.Yaishe, nikiongea naweza kuwa useless na mm.
But nikwambie kitu kimoja Doll,
Jitahid kuwa focused na inshu ambazo zitakufanya wew ku gain something.
Wachana na mambo ya kushauri na kukosoa sanaaa, you're not better enough.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unaeza toa kwa dem hata mamilion lkn kama unapata kifuta jasho, huoni hasara, lkn unaeza toa hata jero lkn kutokana na uzinguliwa ikakuuma sana..
Sent using Jamii Forums mobile app
Matazamo ndani ya wimbi la kisasi, punguza lawamaHii ndo nguo anayoiaminia, afu jamaa/ mvulana bado hajaelewa tofauti ya JF&FB afu anahisi huyo nguo ni next level
[emoji120][emoji120] tunamshukuru mungu mvua zinanyeshaSawa mkuu karibu JF, vp Geita hamjambo!
Next time usiangaike kutaja viamount vidogo vidogo hivyo humu na akati wengine wanajenga na kununulia watu magari na hata hawa mention vitu izohiyo 50elf ipo nje ya hesab maana hata ktk kuorodhesh vi2 vya elf5o ckuitaja..
Sent using Jamii Forums mobile app
Jifunze basi humu sio pa mapicha picha km fb ulikotoka
Mungu anawaona[emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]
Una tabu wewe. Wanaume wakutafutwa jf wapi hao? Halafu ngoja nikwambie kitu siyo kila mtu yupo jf kutafuta bwana. Wanaume wenyewe ndiyo kama wewe??[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]bora nife.
Sasa kama akili zako zinakuambia kila anayecomment jf anatafuta bwana unataka nijutie kukuita fala? Trust me unastahili hilo jina.