Mimi nanyimwa lakini wengine wanamegewa

Gooood[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo la tutoto twa siku hizi, tunajiona tupo sahihi muda wote, hata kakikosea hakatak kuambiwa

Mwisho wa siku utakasikia..
"I believe in me."

Pumbavu, mtapata tabu sana, sumbua humu JF pekee kwenye fake ID, nje kanaufyata mdomo.
Na kanajiona kwenye mapenz hakana bahati.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sawa mkuu naacha.
Ila suala la mtu kuniambia kwamba kama sina cha kushauri niache. Angeweza pia kunyamaza maana yeye sio mtoa mada! Kama yeye anavyotaka niache pia na yeye angeweza kuacha kuniambia pia.
Kwanza yeye ndiyo wakwanza kuni quote na nikamjibu ndiyo akaja na hiyo comment yake.
Angeweza pia kunyamaza.
Kila mtu hapa anachangamsha genge pengine hata mtoa mada ndicho anachokifanya..na wewe ukiniambia nakosea kukosoa na wewe ndicho unachokifanya hapa kwenye huu Uzi.
 
[emoji102]
 
Nilichogundua wewe ni mbinafsi...sasa kwanini umeweka picha yako tu?

Weka na ya kwake ukiambatanisha na number yake ya simu wadau wakamkanye aache tabia ya kuwasiliana na wanaume wengine
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji849][emoji849][emoji849]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Mkuu kweli hawa si ndiyo wakina slay queen, kazi ni kutafua attentions maana sioni kama ni sheria lazima kila uzi mtu utie coment sasa haka kanijiita baby doll anamkejeri jamaa mavazi yake unajua ni ujinga sana, kazi ni kutafuta attention ili vijana wakurupuke waende pm huko ni ujinga nimeona nisikae kimya nimpe muongozo ingawa nimeambulia matusi nmegundua ni stress za kukosa bwana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwandiko na picha hapo chini vinastahili kabisa umegewe dogo. Ukikua na wewe utamega.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…