Endelea kukumbukaTeh teh teh teh teh
Umenikumbusha "chinga" moja hivi,alileta uzi akisema machinga ni mahandsome,af akatupia tupicha tuwili tutatu kutilia "nkazo"
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Sasa ndiyo wababa wanavaa hivi kweli?
Badi unapendezaga, vipi mkanda?
ni vema kunielimisha na na ntalifanyia kaz hlo naamin halitajirudia tena.Inaonekana unapoint kwnye uandishi wako, lakini kitendo cha kutumia X badala ya S inaonesha hufai kabsa
Sent using Jamii Forums mobile app
Unahisi ulichofanya ni sahihi?
ni mwanzo hakuna alie perfect naeza jirekebisha mkuu.. Asanteh kwa kujariNa hizo 'xx, piah, tyuuu' ndo maana kuna mkuu hapo juu alisema utakua 'mchicha mwiba', sio bure. Huo sio uandishi wa kiume
the Legend☆
Upo nje ya mada, hebu acha kujaza server kama huna cha kushauri ruka uzi, kila mtu ana choices zake kwenye mavazi sasa ni vibaya kukosoa, ulitaka akufarahishe wewe kwani wewe ni nani kwake, wewe kama hupendi wapo wenzako wanaopenda uvaaji wa vazi in question.Shida yako umeangalia mtu na siyo vazi.
Hiyo picha ni ya Google na nyingi ni watu weupe wameachia zao
kuwa mtt haishabihian na swala la kua na hofisi za kazi hata kuna wavivu waliokwisha kuwa watu wazima..AaaAaa hiyo ni utoto,
Sisi ambao tunaitwa baba ni mwendo wa suruali tu, tena zile za pima juu chini kadilia.
Kila kona heshima ukivaa ivo
Hayo maswala ya kuvaa skin jeans tuwaachie watoto wasio kuwa na offfice za kazi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe fala nini. Hebu nitokee hapa.Upo nje ya mada, hebu acha kujaza server kama huna cha kushauri ruka uzi, kila mtu ana choices zake kwenye mavazi sasa ni vibaya kukosoa, ulitaka akufarahishe wewe kwani wewe ni nani kwake, wewe kama hupendi wapo wenzako wanaopenda uvaaji wa vazi in question.
Sent using Jamii Forums mobile app
Samahan ndug na nimeshaelewa nini natakiwa kufanya, wakubwa wameshanikanya naelekea kufahamu ni jinsi gani natakiwa niwe..Hivi kwanini unaandika kitoto wakati picha zako unaonekana mkubwa?[emoji34]
kuwa mtt haishabihian na swala la kua na hofisi za kazi hata kuna wavivu waliokwisha kuwa watu wazima..
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji120]jaman samahan sana kwa nitafaham wajibu wang hiv punde..Hahahaha sasa nimekukubali
Ni imagination tu na wala sio serious..Acha kumfananisha YESU na upuuzi.
Wewe fala nini. Hebu nitokee hapa.
Kwamba kwenye huu uzi ulitaka nijadili nini?
Chutama huko.[emoji41][emoji41]
Lotion flan zinaitwa KRISS hahah zinauzwa buku kama sikoseiEti analalamika alikatika kama elf 50 (yaani kwa mchanganuo wa Kununua simu, Lotion, na pocket money) sasa kwa mgawanyo upi, na hiyo simu ya bei gani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Alidai yupo dangerous day piah ni wa kusoma nlihofia usalama wangu..hivi mtu anafika geto unamuacha vipi aondoke kabla hamjacheza kamasutra??
Usitake kujua upande wa pili wa mtu, usinitafutie ban isiyo na ulazima tena haswa kwa kimwanamke uchwara kama wewe unae tafuta attention kwa wanaume humu...jiheshimuWewe fala nini. Hebu nitokee hapa.
Kwamba kwenye huu uzi ulitaka nijadili nini?
Chutama huko.[emoji41][emoji41]
huna haja ya kuelekezwa si una smartphone ingia mtandaon utajua dunia kwa sasa ina fation gan inayotamba..[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]basi mkuu hebu nielekeze kwa picha namna unavyovaa
Fashion !!!!!huo ni mtazamo wako, iv unadhan wa2 2ngekua xaw kwa @ ki2 kuna haja gan ya kuwepo na majukwaa ya fation!!?
Sent using Jamii Forums mobile app