Tareek Azeez
JF-Expert Member
- Mar 29, 2014
- 13,046
- 32,685
Haya MuhA.๐๐๐ em niache
Hawije ๐๐
Haya MuhA.๐๐๐ em niache
Haha, sasa ni ule muda nitangaze masikitiko yangu ๐๐And she is my real one๐
Exactly na hii hata uwe umeokokaNdio ile what goes around comes around ausio!! Hahahaaa...
VizuriNinaamini itakua hivyo ikiwa from the beginning ulidhamiria kufanya hayo, lakini kama wakaui mkiwa pamoja huyo anayethani ni victim kumbe alizingua yeye ikapelekea ulichomuahidi usikitimize, basi atasubiri sana hiyo karma itokee
Khaa ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃMimi nachukiaga sana mtu naempenda kama rafiki ndio anakuja kuwa mnafiki sijui tu kupiga hila ningepiga sana
Mama pastor ๐Leo mood ya upole mkuu๐๐๐๐
HahaaDawa inakuwa haijamkolea
Dunia haijawahi kuwa na haki katika ulipaji wa dhambi