nimekupata, vipi leo mambo ya minyanduano huyatakiLeo mood ya upole mkuu😂😂😂😘
Hiyo haipooKwahiyo hata wale ma eksi nao watakomeshwa huko mbele mbele eehee
Labda umsubirie na mchuzi wa dagaaKuna mtu namsubiria na nyongo ya Mamba akibugi tu Karma ntaiwaisha mapema saana.
Raha sana hiiUsipende kuvuruga amani ya moyo ya MTU Mwingine kwa kumkomoa tu huku wewe ukiendelea kuenjoy.
Nakwambiaje me nimechoka kutishiwa.... Hii nyongo hii heeee sijui😁Labda umsubirie na mchuzi wa dagaa
leo jukwaa limejaa upako"Usichopenda kutendewa usimtendee mwenzio.... Usipende kuvuruga amani ya moyo ya MTU Mwingine kwa kumkomoa tu huku wewe ukiendelea kuenjoy."
Mwisho wa kunkun
Nakusalimu kwa jina la MMU To yeye✋!
Kazana sana kula dagaaNakwambiaje me nimechoka kutishiwa.... Hii nyongo hii heeee sijui😁