Mimi Mwanakijiji ameongopa?

Mujumba

JF-Expert Member
Jan 20, 2011
853
306
kitendo cha Mimi Mwanakijiji kutangaza kuwa cdm imeshinda Arumeru kinaweza kikamghalimu kwani ametoa madai yake basing on few counted centres wakati vituo ambavyo mpaka sasa vimeshapokelewa matokeo yake havizidi hata MIA wakati jumla ya vituo vyote ni 327 na watu waliojiandikisha ni zaidi ya laki moja! kwahiyo kuitangaza cdm washindi kwa kura elfu 19 ambazo mpaka sasa imepata wakati bado kuna maelfu ya kura bado kujumlishwa kunaweza kumghalimu kwani huo ni uongo na kuingilia kazi ya tume ya uchaguzi
 
Mkuu nadhani walichokifanya ni kujumlisha matokeo toka vituo mbalimbali kabla ya NEC kujumlisha matokeo ya jumla. Kwa kuwa kulikuwa na mawakala kila kituo basi wameyapata matokeo na kuyajumlisha kabla hayajaenda kwenye tume. kwa kuwa vituo vilifungwa saa kumi basi hakuna cha kuzuia kupata matokeo toka vituo vyote vya jimbo. kinachosubiriwa ni matokeo Rasmi.
 
Basi mkuu we tupe ya kwako. Unataka kusema mpaka sasa hivi watu hawajamaliza kuhesabu kura vituoni? Na kama wamemaliza vituoni si wabebandika matokeo nje. Siku hizi wa mtandao mpaka vijijini watu wanashindwa vipi kukusanya matokeo ya vituoni na kutoa takwimu. Tume kazi yake ni kutangaza rasmi lakini si kwamba MMM na wengine hawawezi kupata taarifa moja kwa moja kutoka vituoni. Kumbuka haya ni mahesabu ya kujumlisha na kutoa hakuna calculas hapo.
 
kitendo cha Mimi Mwanakijiji kutangaza kuwa cdm imeshinda Arumeru kinaweza kikamghalimu kwani ametoa madai yake basing on few counted centres wakati vituo ambavyo mpaka sasa vimeshapokelewa matokeo yake havizidi hata MIA wakati jumla ya vituo vyote ni 327 na watu waliojiandikisha ni zaidi ya laki moja! kwahiyo kuitangaza cdm washindi kwa kura elfu 19 ambazo mpaka sasa imepata wakati bado kuna maelfu ya kura bado kujumlishwa kunaweza kumghalimu kwani huo ni uongo na kuingilia kazi ya tume ya uchaguzi

Wewe bado upo ? magamba wenzako wameshakimbia
 
kitendo cha Mimi Mwanakijiji kutangaza kuwa cdm imeshinda Arumeru kinaweza kikamghalimu kwani ametoa madai yake basing on few counted centres wakati vituo ambavyo mpaka sasa vimeshapokelewa matokeo yake havizidi hata MIA wakati jumla ya vituo vyote ni 327 na watu waliojiandikisha ni zaidi ya laki moja! kwahiyo kuitangaza cdm washindi kwa kura elfu 19 ambazo mpaka sasa imepata wakati bado kuna maelfu ya kura bado kujumlishwa kunaweza kumghalimu kwani huo ni uongo na kuingilia kazi ya tume ya uchaguzi

Safari siyo nzuri ukiwa na stress!
 
kitendo cha Mimi Mwanakijiji kutangaza kuwa cdm imeshinda Arumeru kinaweza kikamghalimu kwani ametoa madai yake basing on few counted centres wakati vituo ambavyo mpaka sasa vimeshapokelewa matokeo yake havizidi hata MIA wakati jumla ya vituo vyote ni 327 na watu waliojiandikisha ni zaidi ya laki moja! kwahiyo kuitangaza cdm washindi kwa kura elfu 19 ambazo mpaka sasa imepata wakati bado kuna maelfu ya kura bado kujumlishwa kunaweza kumghalimu kwani huo ni uongo na kuingilia kazi ya tume ya uchaguzi

Mkuu naona bado unajitutumua.Wenzako wote wako ICU
 
Basi mkuu we tupe ya kwako. Unataka kusema mpaka sasa hivi watu hawajamaliza kuhesabu kura vituoni? Na kama wamemaliza vituoni si wabebandika matokeo nje. Siku hizi wa mtandao mpaka vijijini watu wanashindwa vipi kukusanya matokeo ya vituoni na kutoa takwimu. Tume kazi yake ni kutangaza rasmi lakini si kwamba MMM na wengine hawawezi kupata taarifa moja kwa moja kutoka vituoni. Kumbuka haya ni mahesabu ya kujumlisha na kutoa hakuna calculas hapo.[/QUO
just wait, wazungu wanasema he who laughs last laugh better....
 
Basi mkuu we tupe ya kwako. Unataka kusema mpaka sasa hivi watu hawajamaliza kuhesabu kura vituoni? Na kama wamemaliza vituoni si wabebandika matokeo nje. Siku hizi wa mtandao mpaka vijijini watu wanashindwa vipi kukusanya matokeo ya vituoni na kutoa takwimu. Tume kazi yake ni kutangaza rasmi lakini si kwamba MMM na wengine hawawezi kupata taarifa moja kwa moja kutoka vituoni. Kumbuka haya ni mahesabu ya kujumlisha na kutoa hakuna calculas hapo.[/QUO
just wait, wazungu wanasema he who laughs last laugh better....

Wee mmakonde unajifananisha na mzungu?
 
Back
Top Bottom