Miss_Irene
JF-Expert Member
- Jun 12, 2019
- 320
- 455
- Thread starter
- #21
ahsanteKaribu sana miss
ahsanteKaribu sana miss
Me nimejitolea kukupokea niambie upo wapi nije kukupokea!!!
0677 026 381Karibu mrembo
Hebu jitambulishe kidogo unapatikana wapi bila kusahau kuweka namba ya simu ili watu wawze kukupa ushauri vizuri na kirahisi zaidi
Ndio utaratibu wetu humu jf
Daah hili jina hili,haya karibuWalasalamu ndg. zangu
Mimi mgeni wenu jamani, ndo kwanza nimejiunga na Jamiiforums leo
Nimepata habari za huu mtandao kutoka kwa rafiki yangu, ameniambia kuwa hapa naweza pata ushauri, ujuzi, marafiki hata bwana pia (am joking)
Naomba mnipokee jamani
Jina limekuwaje?? Ndumbula NdemaDaah hili jina hili,haya karibu
😁😁😁😁acha nicheke tu,utaelewa baadaye kicheko changu Miss_Irene0677 026 381
Aaah acha tuishie hapo tuJina limekuwaje?? Ndumbula Ndema
me mwenyewe nacheka tu!acha nicheke tu,utaelewa baadaye kicheko changu Miss_Irene
Karibu mchuchuWalasalamu ndg. zangu
Mimi mgeni wenu jamani, ndo kwanza nimejiunga na Jamiiforums leo
Nimepata habari za huu mtandao kutoka kwa rafiki yangu, ameniambia kuwa hapa naweza pata ushauri, ujuzi, marafiki hata bwana pia (am joking)
Naomba mnipokee jamani
Walasalamu ndg. zangu
Mimi mgeni wenu jamani, ndo kwanza nimejiunga na Jamiiforums leo
Nimepata habari za huu mtandao kutoka kwa rafiki yangu, ameniambia kuwa hapa naweza pata ushauri, ujuzi, marafiki hata bwana pia (am joking)
Naomba mnipokee jamani
Vizuri Ongeza siku za kuishime mwenyewe nacheka tu!
@troublemaker kwako kuwa na bwana ni muhimu sana eeeh!! nikutafutie bwana????Hapo kwenye bwana ndio muhimu.
@troublemaker kwako kuwa na bwana ni muhimu sana eeeh!! nikutafutie bwana????
Wewe umesema bwana ndo muhimu au nimekosea kukunukuu??Eeeh mbona unanikosea heshima tena.
0677 026 381
Wewe umesema bwana ndo muhimu au nimekosea kukunukuu??
🤣🤣🤣0677 026 381
Kuwa makini mkuu.. https://www.jamiiforums.com/threads/unaupendea-nini-michepuko-wako.1595501/#post-31827309Hapo kwenye bwana ndio muhimu. Naamini hujatania.
Hiyo ya Jumia sales mkuu hata usiwaze