mchuzi juu
Member
- May 14, 2026
- 57
- 90
- Thread starter
- #21
Sasa c ndo mnanielekeza nijue jaman .. kwan kuna ubaya..🙄🙄Dah unazingua yaani wala hubadiliki upo vilevile tu kama ID ile tu🤣🤣
Sasa c ndo mnanielekeza nijue jaman .. kwan kuna ubaya..🙄🙄Dah unazingua yaani wala hubadiliki upo vilevile tu kama ID ile tu🤣🤣
Lakini wewe ni wa kitambo kuliko mimi mkuuSasa c ndo mnanielekeza nijue jaman .. kwan kuna ubaya..🙄🙄
Hicho kitambo nilikuwa natumia Opera mini kuingia JF me nilikuwa nasoma nyuzi napita hivjLakini wewe ni wa kitambo kuliko mimi mkuu
Hukuona neno ID?Hicho kitambo nilikuwa natumia Opera mini kuingia JF me nilikuwa nasoma nyuzi napita hivj
Nilipatana nalo sana lakini cikujua n nn?Hukuona neno ID?
ID ni kama accountNilipatana nalo sana lakini cikujua n nn?
Oooooh okay .. thanks ..... umeme hakuna ndugu yangu au ni hukuntu 🤔🤔🙄🙄ID ni kama account
Mimi nipo ughaibuniOooooh okay .. thanks ..... umeme hakuna ndugu yangu au ni hukuntu 🤔🤔🙄🙄
Oooooooʻhh but ni Suluhu KidMimi nipo ughaibuni
Ndo niniOooooooʻhh but ni Suluhu Kid
Nyie ndo mnafanya mbingu ziwe mbaliJamani naombeni nipokeeni mimi ni mgeni lakini mwenyeji pia kwani nilikuwa nafuatilia JF since nipo na kiswaswadu kupitia Opera mini🤗🤗
Mpwayungu Village ,raraa reree ,
😅😅😅😅🤣🤣🤣🤣 kwann mkuuNyie ndo mnafanya mbingu ziwe mbali
Ahsante sana kamanda ... tutaenda sambamba 🤗🤗Karibu sana JF mjukuu wetu hapa kwa GT ufaidi.