Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 76,508
- 108,914
Eti wadau wa jf mimba iko bao la ngapi?
Kwani yako iliingia bao la ngapi toka kwa hubby wako?
Eti wadau wa jf mimba iko bao la ngapi?
Ndo mana nakupenda shem wangu waukweli
haa haa haa shem wacha nimtoe hofu dogo...
Bao la pili kama walivyopigwa yanga siku ileee!!!
Hata bao la kwanza tu mzurimie anapata mimba!?
Kuna mdau kamwambia eti mpaka la kumi!!!