Mimba. . . .

"Hivi mwanaume kakataa mimba we umelea ya nini? Haki ya nani mi mwanaume hajaniachia mimba nikalea, labda aniachie mtoto hapo angalau!"

Hayo ni maneno ya dada mmoja kwenda kwa mwingine ambae ni mama mtarajiwa. Alikua anamwambia kauli yake ikisuggest kwamba mwanaume anapokimbia/kataa mimba basi kiumbe cha watu kinakosa haki ya kuishi hivyo kitolewe. Hii kitu imenifanya nijiulize. . .

1.Hivi mimba ni ya nani? Ya mwanaume hivyo asipokua tayari kushiriki katika malezi yake basi iondolewe na kutupiliwa mbali?
2.Mimba ni ugonjwa usiozuilika hata watu wasijali wakati wa kupata ila wawe tayari kutumia gharama kuziondoa?
3.Baadhi ya wanawake wa akili za aina gani hata wajiweke katika position za kupata mimba na mwanaume asiyeeleweka huku wakijua fika 'BILA KUWEZESHWA HAWAWEZI'??"

Nasikitika kuona kwamba wanawake wengine wana fikra zilizokaa kinyume nyume na bila huruma wako tayari kuadhibu viumbe ambavyo havikishiriki kwenye mambo na starehe zao binafsi.
muswada tata wa sheria ya kutoa mimba soon utapelekwa bungeni.......muswada huu unasemekana unakuja TZ kwa shinikizo toka nchi za nje....wataalam wa pro life wameanza kupiga kelele za chini chini...lakini pia serikali(kupitia speaker)wanaonekana kuufagilia huu muswada.....moja ya sababu inayosemwa kutolewa na serikali ni kutumia utoaji mimba kama njia mojawapo ya contraception....haswa kuzikabili zile mimba tata zitokanazo na issues kama rape, magonjwa mabaya ya kurithi....na sana eti kama njia ya kupunguza vifo vya mama na mtoto......kwa kuruhusu utoaji mimba kwenye vituo maalum vitakavyoandaliwa kwa ajili ya kazi hii.......ebu toa msimamo wako juu ya hili..ukizingatia kuwa watu wanaweza kutumia mwanya huu wa legal abortion kutoa mimba ambazo wala hazina shida........your take on this please...na naona iko haja tuanzishe thread juu ya uhalalishwaji wa kutoa mimba TZ.........
 
sister...you sound very genuine and good woman in your comments.....ngoja nikupe scenario hii alafu useme kama ingekuwa imetokea kwako ungefanyaje!.....chukulia imetokea kuwa wewe umechelewa kurudi nyumbani giza likakukuta uchochoroni...au umekwenda ugenini mara bahati mbaya ukavamiwa na wahuni alafu wakakubaka...mnasema kupigwa mande.....wakakubaka weee...alafu wakakuachia ukajirudia nyumbani kwenu na aibu yako(labda hata ukawaripoti polisi..hata labda wakashikwa na kufungwa)...lakini mwisho wa siku wewe ukajikuta umepata mimba baada ya kubakwa......ebu tuambie unafanyaje kwenye hali hii???....labda mungu kakunusuru wale wahuni hawakukuachia ukimwi(hata kama wamekuachia ukimwi..ukiwahi siku hizi kuna kinga...PEP inaitwa)....tuambie unaifanyaje hii mimba???....Niseme tu masuala ya kutoa/kutotoa mimba ni mjadala muhimu sana wakati huu ambapo serikali inaegemewa kupeleka muswada wa sheria ya kuruhusu utoaji mimba TZ.......labda huu ni wakati muafaka kulijadili hili....ebu tuambie hiyo mimba ya kubakwa we utaifanyaje?????????
swali lako gumu ila naomba tu nilijibu kwa uelewa wangu na kwa nafsi yangu.
mimi kama mimi ikinitokea situation kama hiyo sataoa hiyo mimba mana mtoto ana kosa kwanini nichukue jukumu la kumuua wakati hana kosa lolote. i will keep a baby, i real mean it.
 
swali lako gumu ila naomba tu nilijibu kwa uelewa wangu na kwa nafsi yangu.
mimi kama mimi ikinitokea situation kama hiyo sataoa hiyo mimba mana mtoto ana kosa kwanini nichukue jukumu la kumuua wakati hana kosa lolote. i will keep a baby, i real mean it.
you are a good girl.....wewe ni a real pro life......michango ya watu kama wewe inatakiwa sana muda huu ambapo serikali itapeleka muswada wa sheria ya kuruhusu utoaji mimba TZ.....lakini labda tena nikuulize swali la msingi kuhusu hili jambo(sorry kwa kukuuliza wewe...wenzako ladies wengi labda watakwepa kujibu)....tuseme imekutokea tena kuwa wewe uko na mpenzi wako..labda mumwe wako...alafu ukapata mimba...alafu baadae wakati unafanya vipimo...tuseme ultra sound na vingine vya damu...ikaonekana kuwa mtoto aliyeko tumboni mwako ana ulemavu wa viungo ambao haurekebishiki kitiba(labda kavimba kichwa au uti wa mgongo au ana sehemu mbili za uzazi au ana mikono mitatu)....ukaambiwa utoe uamuzi wako mtoto umzae au atolewe...wewe utaamuaje??..mume yeye amemkubalia dr kuwa mtoe...wewe je?
 
easier said than done... of course kila mtu angesema hivyo hivyo ingawa, in real life situation, vitendo vingetofautiana
mimi sina sababu ya msingi ya kunifanya nitoe mimba ndo mana nimekwambia i real mean it.
ukijitambua na kujielewa lazima vitendo viendane kwenye real life.
 
you are a good girl.....wewe ni a real pro life......michango ya watu kama wewe inatakiwa sana muda huu ambapo serikali itapeleka muswada wa sheria ya kuruhusu utoaji mimba TZ.....lakini labda tena nikuulize swali la msingi kuhusu hili jambo(sorry kwa kukuuliza wewe...wenzako ladies wengi labda watakwepa kujibu)....tuseme imekutokea tena kuwa wewe uko na mpenzi wako..labda mumwe wako...alafu ukapata mimba...alafu baadae wakati unafanya vipimo...tuseme ultra sound na vingine vya damu...ikaonekana kuwa mtoto aliyeko tumboni mwako ana ulemavu wa viungo ambao haurekebishiki kitiba(labda kavimba kichwa au uti wa mgongo au ana sehemu mbili za uzazi au ana mikono mitatu)....ukaambiwa utoe uamuzi wako mtoto umzae au atolewe...wewe utaamuaje??..mume yeye amemkubalia dr kuwa mtoe...wewe je?
mimi nadhani kuna haja ya watu kuona jinsi mimba inavyotolewa then ndo uafiki kama mimba itolewe au laah.
kila mtu kaumbwa kwa mfano wa mungu na mungu anamakusudi ya kumuumba mtu hivyo alivyo so mimi ni nani niukosoe uumbaji wa mungu.
bora nigombane na mume wangu lakini niutukuze uumbaji wa mungu.
 
you are a good girl.....wewe ni a real pro life......michango ya watu kama wewe inatakiwa sana muda huu ambapo serikali itapeleka muswada wa sheria ya kuruhusu utoaji mimba TZ.....lakini labda tena nikuulize swali la msingi kuhusu hili jambo(sorry kwa kukuuliza wewe...wenzako ladies wengi labda watakwepa kujibu)....tuseme imekutokea tena kuwa wewe uko na mpenzi wako..labda mumwe wako...alafu ukapata mimba...alafu baadae wakati unafanya vipimo...tuseme ultra sound na vingine vya damu...ikaonekana kuwa mtoto aliyeko tumboni mwako ana ulemavu wa viungo ambao haurekebishiki kitiba(labda kavimba kichwa au uti wa mgongo au ana sehemu mbili za uzazi au ana mikono mitatu)....ukaambiwa utoe uamuzi wako mtoto umzae au atolewe...wewe utaamuaje??..mume yeye amemkubalia dr kuwa mtoe...wewe je?

Mbona walemavu wapo na wanamchango katika jamii kumbuka kila mtu ni mlemavu mtarajiwa kabla ya kufa ee MUNGU NISAIDIE I WILL KEEP THE BABY IT DESERVE TO BE BORN THE REAL AND PASSIONATE MOTHER WILL NOT CHOOSE TO ABORT
 
mimi nadhani kuna haja ya watu kuona jinsi mimba inavyotolewa then ndo uafiki kama mimba itolewe au laah.
kila mtu kaumbwa kwa mfano wa mungu na mungu anamakusudi ya kumuumba mtu hivyo alivyo so mimi ni nani niukosoe uumbaji wa mungu.
bora nigombane na mume wangu lakini niutukuze uumbaji wa mungu.
you are blessed girl....all the best!!
 
Back
Top Bottom