Ngoja kwanza unasema mahusiano yasiyo rasmi? MwanA kulitaka ndie mwana kulipewa!/
Anunue kreti zima la cocacola alihifadhi ndani
Kweli ndio maana huwa tuna-fail mitihani hivihivi, kwani wapi kasema anakunywaga soda za baridiHiyo ni hatari kwa mjamzito kunywa vitu vya baridi anaweza kusababisha mtoto kupana nyumonia
Soda tu unalalamika, je mimba ingetaka savannah si ungemkimbia? Nunua creti la soda muwekee hapo, likiisha unaleta lingine....
hakuna aliposema ila kuna mtu alishauri akasema kuwa anunue kokakola nyingi aziweke kwenye frijiKweli ndio maana huwa tuna-fail mitihani hivihivi, kwani wapi kasema anakunywaga soda za baridi
Ooh sista; nimeipenda methali hiyo hapo juu !!Mie bado ni hai.........Ngoja kwanza unasema mahusiano yasiyo rasmi? MwanA kulitaka ndie mwana kulipewa!/
Ooh sista; nimeipenda methali hiyo hapo juu !!Mie bado ni hai.........
BifadhiliLLaah.... (kwa upendo wake)Hahhhaha kaka asante mzima wewe
BifadhiliLLaah.... (kwa upendo wake)
Tena uwe unamnunuliaa coca yenye jina lakee ilii afurahi zaidii