New2JF
Senior Member
- Oct 25, 2011
- 123
- 27
Kwanini hawakumfanyia ultrasound huyo mama? Huu ni uzembe usiokubalika hata kidogo!!! Pia nadhani na wakina mama wajawazito wawe makini wanavyoenda clinics, sio kila clinic ni clinic!!! Unatakiwa kuangaliwa hasa ili kuwa katika hali nzuri na salama wakati wote!!
Pole sana kaka kwa kupoteza mkeo.
Pole sana kaka kwa kupoteza mkeo.