zipompa JF-Expert Member Joined Aug 19, 2014 Posts 12,077 Reaction score 26,006 Aug 10, 2017 #41 hahahaha una utani unamjua malaya ama uneongea tu, komaa na jamaa na ukipata mimba ndo utulie sio kero za ajabu kudai mahindi ya kukaanga saa 8 usiku
hahahaha una utani unamjua malaya ama uneongea tu, komaa na jamaa na ukipata mimba ndo utulie sio kero za ajabu kudai mahindi ya kukaanga saa 8 usiku
Nleterewa Nganengo JF-Expert Member Joined Oct 11, 2016 Posts 5,007 Reaction score 11,318 Aug 10, 2017 #42 hazelyn said: Mi nimeshangaaa kweli alivosema bora mme malaya Mi bora anae nigawia kichapo ila sio malaya Click to expand... Kabisa Malaya sio wa kuomba kabisa. Ila hata kipigo sio kizuri bibie.
hazelyn said: Mi nimeshangaaa kweli alivosema bora mme malaya Mi bora anae nigawia kichapo ila sio malaya Click to expand... Kabisa Malaya sio wa kuomba kabisa. Ila hata kipigo sio kizuri bibie.