Habarini wakuu,
Bila kupoteza muda kama kichwa cha habari kinavyojieleza, ni jamaa yangu mmoja alinifuata na kuniambia kuwa wana ugomvi na mke wake juu ya mimba aliyonayo kwani mazingira aliyoipata hiyo mimba hayana udhibitisho au uhalali wa jamaa kuwa mmiliki.
Labda nieleze kwa kifupi juu ya mazingira menyewe, Kwa mujibu wa maelezo ya jamaa yangu, Jamaa ni mtu wa kusafiri safiri sana. Jamaa aliondoka nyumbani kwake tangu mwezi wa pili Mwaka huu 2016, mpaka sasa hajarudi nyumbani, na aliacha hali ikiwa shwari kabisa wala hakukuwa na dalili zozote za ujauzito.
Sasa juzijuzi tu mke wake amempigia simu akamwambia ana ujauzito wa miezi minne, jamaa alichanganikiwa na kukawa na mvutano mkali sana kati yake na mkewe, jamaa alihoji, mimba ina miezi minne hujaniambia kwanini? Jibu la mwisho la jamaa lilikuwa kama ilivyoandikwa kwenye kichwa cha uzi huu yaani "Mimba hiyo siitambui" Ikumbukwe kuwa mpaka saizi hajarudi nyumbani, wanawasiliana kwa njia ya simu tu, vilevile wana mtoto mmoja kwenye ndoa yao ambaye ana umri kati ya miezi 10 hadi 12.
Je, Kwa wataalamu wa mahusiano na sayansi ya uzazi na wale wenye uzoefu, pia wanawake wenyewe inawezezekana kweli kukaa miezi minne bila kujitambua kuwa una mimba?
Karibuni tunusuru ndoa ya huyu jamaa.
Nawasilisha.
Uyo kadungwa nje afu anataka ambebeshe jamaa,, duh don't bve the girlsHabarini wakuu,
Bila kupoteza muda kama kichwa cha habari kinavyojieleza, ni jamaa yangu mmoja alinifuata na kuniambia kuwa wana ugomvi na mke wake juu ya mimba aliyonayo kwani mazingira aliyoipata hiyo mimba hayana udhibitisho au uhalali wa jamaa kuwa mmiliki.
Labda nieleze kwa kifupi juu ya mazingira menyewe, Kwa mujibu wa maelezo ya jamaa yangu, Jamaa ni mtu wa kusafiri safiri sana. Jamaa aliondoka nyumbani kwake tangu mwezi wa pili Mwaka huu 2016, mpaka sasa hajarudi nyumbani, na aliacha hali ikiwa shwari kabisa wala hakukuwa na dalili zozote za ujauzito.
Sasa juzijuzi tu mke wake amempigia simu akamwambia ana ujauzito wa miezi minne, jamaa alichanganikiwa na kukawa na mvutano mkali sana kati yake na mkewe, jamaa alihoji, mimba ina miezi minne hujaniambia kwanini? Jibu la mwisho la jamaa lilikuwa kama ilivyoandikwa kwenye kichwa cha uzi huu yaani "Mimba hiyo siitambui" Ikumbukwe kuwa mpaka saizi hajarudi nyumbani, wanawasiliana kwa njia ya simu tu, vilevile wana mtoto mmoja kwenye ndoa yao ambaye ana umri kati ya miezi 10 hadi 12.
Je, Kwa wataalamu wa mahusiano na sayansi ya uzazi na wale wenye uzoefu, pia wanawake wenyewe inawezezekana kweli kukaa miezi minne bila kujitambua kuwa una mimba?
Karibuni tunusuru ndoa ya huyu jamaa.
Nawasilisha.
utagunduaje kama una mimba ndani ya mweziAmna co rahc kuto jigundua mimba ikiwa na mwezi mmoja tu unakuwa tayari ushajigundua.....
ujue wanaume huwa hawafikirii yaani .akili zao fupi kama tofali...yaani anaweza kusababisha mama wa watu akajiua hivihivi yaani. eti mimba siitambui wakati alikuwa anakula mzigo alidhani mwisho wake niniInawezekana vizur akawa na ujauzito na asijue na mimba inakuwa vzr tu mwabie jamaa acha kupanik na kufkilia vibaya inawezekana kbs km mam ananyonyesha haoni sikh zake na akawa na mimba vizur tu..
tena google ipo hata ya kiswahili siku hiziWanaume wanaoshindwa ht kutumia google kuangalia facts wananichosha
Kwanza mambo ya kukataa mimba ya kishamba sana tena ya kizaman siku iz wanalea mimba anasubiliwa mtoto au DNA inahusika apo ndo unaanza kuropoka ujinga wako sio unaanza kumkana mtoto akiwa bado tumboniujue wanaume huwa hawafikirii yaani .akili zao fupi kama tofali...yaani anaweza kusababisha mama wa watu akajiua hivihivi yaani. eti mimba siitambui wakati alikuwa anakula mzigo alidhani mwisho wake nini
yaani hana busara huyu jamaa ...halafu hyo mimba ni yake sasa .... sijui atakujaje kumuangalia huyo mtotoKwanza mambo ya kukataa mimba ya kishamba sana tena ya kizaman siku iz wanalea mimba anasubiliwa mtoto au DNA inahusika apo ndo unaanza kuropoka ujinga wako sio unaanza kumkana mtoto akiwa bado tumboni
wanaume wa dar wakipita mahali utawajua tu....Mwambie atafute Daktari anaemwamini yeye, kwanza apime halafu wapate ushauri. Kama bado haamini D.N.A Ihusike.
nani aliyekuambua ananyonyeshamwanamke anaenyonyesha huwa hapati siku zake
kwaiyo kwa vile hapati siku zake akaona ni kawaida kumbe kuna jingine
hyo mimba ni yake tena amuombe mungu amsamehe elimu ya biologioa ni muhimu jamani msikurupuke
mwanamke anaenyonyesha huwa hapati siku zake
kwaiyo kwa vile hapati siku zake akaona ni kawaida kumbe kuna jingine
hyo mimba ni yake tena amuombe mungu amsamehe elimu ya biologioa ni muhimu jamani msikurupuke
Sentensi tata... Mimi ndie w Dar au mwanaume wa Dar ndie kampa mimba?wanaume wa dar wakipita mahali utawajua tu....
wanaume wa Dar wakipita mahali huwa wanajua na wenza wao wamepitia kwingine....Sentensi tata... Mimi ndie w Dar au mwanaume wa Dar ndie kampa mimba?
soma umri wa mtoto alienae hapo miezi mingapi hanyonyi huyonani aliyekuambua ananyonyesha
ahahaaaa wewe wajuaSentensi tata... Mimi ndie w Dar au mwanaume wa Dar ndie kampa mimba?