Makamee
JF-Expert Member
- Nov 29, 2013
- 2,029
- 1,190
Jumla ya wanafunzi 8,000 nchini wanaacha shule kwa mwaka kutokana na KUPACHIKWA mimba,
Naibu waziri Ummy Mwalimu alieleza hayo ktk maadhimisho ya kupinga ukatili dhidi ya wanawake na watoto wilayani Kahama.
Source-Habari Leo).
SWALI" Je wahusika wa mimba hizi hawajulikani?
Naibu waziri Ummy Mwalimu alieleza hayo ktk maadhimisho ya kupinga ukatili dhidi ya wanawake na watoto wilayani Kahama.
Source-Habari Leo).
SWALI" Je wahusika wa mimba hizi hawajulikani?