Uongo hamna kitu km icho na top 20 anatangaza mamy baby kitamboNasikia MillardAyo ameacha kazi Clouds FM na kapata mchongo huko Marekani
1.Amplifire hatangazi tena
2.Top20 hatangazi tena
3.Hajajihusisha hata kidogo na FIESTA kwa Website yake,FB wala Instagram
4.Istagram yake ametoa ile clouds meadia groo kaweka Broklyn, NewYork
Jee ni kweli hiii....
Haters utawajua tu na mapovu yao Millard yuko juu miaka mia tuondolee chuki zako binafs hapaHaahahaha haya ndo mambo aliyokutana nayo mondi kule BET,eti akazani yeye ni staa kwa afrika nzima kumbe wanaoujua mziki wanajua jamaa bado Sana kwani wingi wa kelele za afrika mashariki sio ubora wa msanii,sasa Huyo Millard Ayo anapewa Sifa Sana lakin style zote za utangazaji anaiga mbele,anamuiga Ryan secrest na Ramero Torres mpaka kero aisee,sasa nyie msiojua ndo kelele mkizani jamaa anaswag za kipekee kumbe mwenzenu anakopi na kupesti tu,marekani kuna watu wanajua kutangaza acheni aisee,Huyo Millard labda apewe shavu na mbongo anayeishi kule amtangazie udaku ghetoni kwake...hahaha
Acheni chuki binafsiUs kwa english ipi aliyo nayo? Donald atamrudisha tu.. Kule us atabaki Mange
Ana roho mbaya Sana na wivu usokuwa na msingi kuna watu wa kuwachukia lakin sio kwa Millard jaman, kwa lipi? Yule mkaka wa watu mstaarabu tuMondi sawa kakupigia demu wako hiyo inajulikana, je huyo kijana amekufanya nini hadi umchukie? Jamaa una roho mbaya hata kwenye mtandao! Duh!
Kumbe anavyo tangaza huwa anakukera hizi mambo za wanawake waachie
Umeonaee mkuu ukute choka mbaya hatariNi ushamba tuu umemjaa na huyu huwezi kumkuta ana mafanikio hata siku moja
Sana hata mm nimemshangaa sanawe kama unamchukia millard ayo una matatizo makubwa sana
Mm pia kanikera chuki mpaka kwa millardYaani jamaa ameniboa balaa.... kumbe watu wana chuki kiasi hiki....bt kwann uwe na chuki ambazo hazikuongezei kipato.
Hizi sifa sasaJina la Millard Ayo siyo geni sana masikioni pangu, hivi ni nani huyu?
wachawi wako wengi sana...Haahahaha haya ndo mambo aliyokutana nayo mondi kule BET,eti akazani yeye ni staa kwa afrika nzima kumbe wanaoujua mziki wanajua jamaa bado Sana kwani wingi wa kelele za afrika mashariki sio ubora wa msanii,sasa Huyo Millard Ayo anapewa Sifa Sana lakin style zote za utangazaji anaiga mbele,anamuiga Ryan secrest na Ramero Torres mpaka kero aisee,sasa nyie msiojua ndo kelele mkizani jamaa anaswag za kipekee kumbe mwenzenu anakopi na kupesti tu,marekani kuna watu wanajua kutangaza acheni aisee,Huyo Millard labda apewe shavu na mbongo anayeishi kule amtangazie udaku ghetoni kwake...hahaha
HahahaaaKichwa kama embe bolibo bichi
HahahaUs kwa english ipi aliyo nayo? Donald atamrudisha tu.. Kule us atabaki Mange
Ha ha ha!Hizi sifa sasa
Ha ha ha!
Your key argument here is Brooklyn name kwenye capture ya Millard.Nasikia MillardAyo ameacha kazi Clouds FM na kapata mchongo huko Marekani
1.Amplifire hatangazi tena
2.Top20 hatangazi tena
3.Hajajihusisha hata kidogo na FIESTA kwa Website yake,FB wala Instagram
4.Istagram yake ametoa ile clouds meadia groo kaweka Broklyn, NewYork
Jee ni kweli hiii....
dougie masta wa insta naona umehamia hukuNasikia MillardAyo ameacha kazi Clouds FM na kapata mchongo huko Marekani
1.Amplifire hatangazi tena
2.Top20 hatangazi tena
3.Hajajihusisha hata kidogo na FIESTA kwa Website yake,FB wala Instagram
4.Istagram yake ametoa ile clouds meadia groo kaweka Broklyn, NewYork
Jee ni kweli hiii....